Hofu Imewajaa Waandamizi wa Serikali Arusha.

Hofu Imewajaa Waandamizi wa Serikali Arusha.

kwani chadema wote akili zao zinafanana hakuna wa kumshauri mwenzake wakiamua kufanya utoto wanafanya wote

wakitaka kulipua watu wanapanga wote
Hata mi nawashangaa, hawana tofauti na ccm ambao wakianza kuua tembo kule serengeti na kupakia twga kwenye ndege utadhani wameagizana wote.
 
lakini lema kuwa mbunge imetusaidia kwanza arusha imepungua msongamano wa watu ambao kila siku ilikuwa ni wageni na watalii kibao bora siku hizi hawaji kunanafsi.bado kidogo hotel nazo zitashuka bei na watu wa kawaida walale hotelini watakoma waliojenga mahotel makubwa.
Kuongea bila takwimu ni sawa na kuropoka au kuhara bila control.
 
Mkuu Lukosi,

ngoja nikameze dawa zangu kwanza nitarudi baadae...!!

Alafu simpendi Mh. Lema maana "alichonitenda huko nyuma"...... Hapa London!!

Usitudanganye bwana, Mhe Lema hana hizo tabia za kuwafanya watu huko nyuma kama ulivyosema.
 
Mkuu, nilitamani sn kurekodi, lkn intelijensia ilikuwa at the maximum surveillance, maana watu hawa wanaishi kwa mashaka sana.

Basi sio mbaya taarifa tu hii inatosha maana makamanda siku zote taarifa si za kupika kama mwampamba na kale kadada ka binamu chakula ya hamu
 
Back
Top Bottom