. . .Dawa za kuongeza siku unazotumia una uhakika siyo za kiwanda cha MA------ cha hapa ARUSHA?
Haaa!! Na wewe!!! Mkuu nimesoma comments za members hapo juu nikacheka sana, nikajua hawajanielewa, ila sasa na wewe...!! Mkuu mi ni mkata miwa tu hata London naisoma tu jf kupitia kwa Lukosi!!
Mkuu dawa hizi huwa zinapunguza uwezo wa mtu kufikiri ukizingatia mi mwana-CCM miliehamia from CDM maana nahofia tenda zangu zita....!!
Naogopa Ban mkuu, nisome vizuri mtanielewa!!