Hofu Imewajaa Waandamizi wa Serikali Arusha.

Hofu Imewajaa Waandamizi wa Serikali Arusha.

. . .Dawa za kuongeza siku unazotumia una uhakika siyo za kiwanda cha MA------ cha hapa ARUSHA?


Haaa!! Na wewe!!! Mkuu nimesoma comments za members hapo juu nikacheka sana, nikajua hawajanielewa, ila sasa na wewe...!! Mkuu mi ni mkata miwa tu hata London naisoma tu jf kupitia kwa Lukosi!!

Mkuu dawa hizi huwa zinapunguza uwezo wa mtu kufikiri ukizingatia mi mwana-CCM miliehamia from CDM maana nahofia tenda zangu zita....!!

Naogopa Ban mkuu, nisome vizuri mtanielewa!!
 
Mkuu Lukosi,

ngoja nikameze dawa zangu kwanza nitarudi baadae...!!

Alafu simpendi Mh. Lema maana "alichonitenda huko nyuma"...... Hapa London!!

alipiga kabang alafu akakuacha?punguza povu makamanda tupo kazin mwaka wa tabu kwa maccm.
 
Haaa!! Na wewe!!! Mkuu nimesoma comments za members hapo juu nikacheka sana, nikajua hawajanielewa, ila sasa na wewe...!! Mkuu mi ni mkata miwa tu hata London naisoma tu jf kupitia kwa Lukosi!!

Mkuu dawa hizi huwa zinapunguza uwezo wa mtu kufikiri ukizingatia mi mwana-CCM miliehamia from CDM maana nahofia tenda zangu zita....!!

Naogopa Ban mkuu, nisome vizuri mtanielewa!!

wajanja tushakusoma
 
mkuu lukosi,

ngoja nikameze dawa zangu kwanza nitarudi baadae...!!

Alafu simpendi mh. Lema maana "alichonitenda huko nyuma"...... Hapa london!!

jamani hivi huwa kuna ishu gani behind the scene kati ya lema na chris lukosi,tuwekane sawa wadau
 
kwani chadema wote akili zao zinafanana hakuna wa kumshauri mwenzake wakiamua kufanya utoto wanafanya wote

wakitaka kulipua watu wanapanga wote.
 
lakini lema kuwa mbunge imetusaidia kwanza arusha imepungua msongamano wa watu ambao kila siku ilikuwa ni wageni na watalii kibao bora siku hizi hawaji kunanafsi.bado kidogo hotel nazo zitashuka bei na watu wa kawaida walale hotelini watakoma waliojenga mahotel makubwa.
 
STIDE na Lukosi hamna mpya nyote mko Huko mkibangaiza na hamtoweza kurudi TZ 2015 kwa kuona aibu maana CHADEMA inachukuwa nchi
 
STIDE na Lukosi hamna mpya nyote mko Huko mkibangaiza na hamtoweza kurudi TZ 2015 kwa kuona aibu maana CHADEMA inachukuwa nchi


Teh teh!! Mkuu Jalood,

Umenipandisha sana Kamanda wangu!! Ila nadhani utakuwa mgeni Jf au sio mfuatiliaji, vinginevo hujanisoma ktkt ya mistari!!

Mkuu tafadhari nitake radhi kwa KUNIFANANISHA na Lukosi!! HILI NI TUSI KUBWA KWANGU ulitakiwa ufungwe jera ila nimekusamehe Kamanda wangu tuko pamoja kuitetea Tz yetu irudishe heshima yake!!
 
jamani hivi huwa kuna ishu gani behind the scene kati ya lema na chris lukosi,tuwekane sawa wadau


0714!! Ndo maana kijana povu linamtoka akiona habari ya Lema!! Kijana wetu hawezirudi Bongo kwa aibu!! "Chezea kuishi London kwa Shemeji bila muelekeo"!!!

Chanzo:-jf.
 
Ina maana Chadema wanatishia maisha ya watu au?

Hata iweje, magogoni mtakuwa mnakwenda kwenye mnuso tu
Kauli kama hizi walikuwa wanatoa wakoloni kumwambia J. K. Nyerere nashangaa kutoka kwako tena kijana kabisa.
 
Mkuu Lukosi,

ngoja nikameze dawa zangu kwanza nitarudi baadae...!!

Alafu simpendi Mh. Lema maana "alichonitenda huko nyuma"...... Hapa London!!

Mhhhh nyuma tena kwani huyu kijana ana tabia hiyo ya kutendea watu nyuma? Basi kijana fedhuli kama ni kweli!
 
Haaa!! Na wewe!!! Mkuu nimesoma comments za members hapo juu nikacheka sana, nikajua hawajanielewa, ila sasa na wewe...!! Mkuu mi ni mkata miwa tu hata London naisoma tu jf kupitia kwa Lukosi!!

Mkuu dawa hizi huwa zinapunguza uwezo wa mtu kufikiri ukizingatia mi mwana-CCM miliehamia from CDM maana nahofia tenda zangu zita....!!

Naogopa Ban mkuu, nisome vizuri mtanielewa!!
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]

Yeah hawajakuelewa mkuu, hapo nikwamba unamkumbusha lukosi akameze dawa nivizuri mpende jirani yako mzee.
 
STIDE na Lukosi hamna mpya
nyote mko Huko mkibangaiza na hamtoweza kurudi TZ 2015 kwa kuona aibu
maana CHADEMA inachukuwa nchi

Mkuu, Jalood; Msome vizuri kamanda STIDE utamuelewa tu. Anatumia mantiki (logic).
 
Last edited by a moderator:
Ina maana Chadema wanatishia maisha ya watu au?

Hata iweje, magogoni mtakuwa mnakwenda kwenye mnuso tu
Mbona unakwepesha brother?
Nimesema viongozi wote wanaoiabudu ccm matumbo joto Huko Arusha.
Mkuu itakuwa imefanikiwa sana kama wananchi wote watapata elimu ya uraia na kutambua haki zao za msingi toka Serikalini.
Ishu si tu Magogoni kama bichwa lako linavotaka kulazimisha.
 
Mbona unakwepesha brother?
Nimesema viongozi wote wanaoiabudu ccm matumbo joto Huko Arusha.
Mkuu itakuwa imefanikiwa sana kama wananchi wote watapata elimu ya uraia na kutambua haki zao za msingi toka Serikalini.
Ishu si tu Magogoni kama bichwa lako linavotaka kulazimisha.
Sasa mkubwa mbona unatokwa povu? mimi na wewe nani ana bichwa kubwa zaidi?
 
Safi kamanda ila siku nyingine jitahidi urekodi hata na kamchina wengine tunatunza kumbukumbu kwa ajiri ya wanetu ...wajue mkoloni mweusi dk za mwisho alivyoanza kutapatapa ili zije zitumike hizo picha kwenye vitabu vya historia pia na magazeti ya baadae kwenye kurasa za "leo katika historia"
Mkuu, nilitamani sn kurekodi, lkn intelijensia ilikuwa at the maximum surveillance, maana watu hawa wanaishi kwa mashaka sana.
 
Mulongo hajaomba uhamisho ?
Huyu hata asipoomba uhamisho atajikuta naturally akiwa absolete maana watu wa Arusha wanabadilika kila siku wakati yeye akiwa bado stagnant. Atakaa pembeni mwenyewe.
 
Back
Top Bottom