S serious1 Member Jul 5, 2011 40 10 Jul 28, 2011 #1 Hii JF..nimekua nikifuatilia JF kwa muda mrefu bila kuwa na akaunt. naomba kuingia kwenye jamii hii ya magreat thinkers....... Binafsi nina tatizo ambalo muda si mrefu nitaliweka jamvini munipe ushauri na suluhisho la kudumu. mubarikiwe sana
Hii JF..nimekua nikifuatilia JF kwa muda mrefu bila kuwa na akaunt. naomba kuingia kwenye jamii hii ya magreat thinkers....... Binafsi nina tatizo ambalo muda si mrefu nitaliweka jamvini munipe ushauri na suluhisho la kudumu. mubarikiwe sana
Sniper JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,915 709 Jul 28, 2011 #2 karibu sana serious1. Je, wewe ni mme au kke?
T Tasia I JF-Expert Member Apr 21, 2010 1,223 193 Jul 28, 2011 #4 Sniper said: karibu sana serious1. Je, wewe ni mme au kke? Click to expand... mh! haaya! karibu!
Mvua Ya Kiangaz JF-Expert Member May 24, 2011 308 144 Jul 28, 2011 #5 Karibu yakhe.............watumia tende au halwa,kuna ghahawa,tangawizi,chanabateta na supu ya pweza,UTAWEZA???
Karibu yakhe.............watumia tende au halwa,kuna ghahawa,tangawizi,chanabateta na supu ya pweza,UTAWEZA???
S serious1 Member Jul 5, 2011 40 10 Jul 28, 2011 Thread starter #6 Sniper said: karibu sana serious1. Je, wewe ni mme au kke? Click to expand... one of..
S serious1 Member Jul 5, 2011 40 10 Jul 28, 2011 Thread starter #7 Mvua Ya Kiangaz said: Karibu yakhe.............watumia tende au halwa,kuna ghahawa,tangawizi,chanabateta na supu ya pweza,UTAWEZA??? Click to expand... Santee yakhe!! mi sipendi makuu shekhe tusupu twa karanga na urojo toshaa!!
Mvua Ya Kiangaz said: Karibu yakhe.............watumia tende au halwa,kuna ghahawa,tangawizi,chanabateta na supu ya pweza,UTAWEZA??? Click to expand... Santee yakhe!! mi sipendi makuu shekhe tusupu twa karanga na urojo toshaa!!
J JACADUOGO2. JF-Expert Member Dec 13, 2010 930 217 Jul 28, 2011 #8 Karibu sana ila kuanzia leo uachane na chama cha magamba na ujiunge na chama cha magwanda!
pepim JF-Expert Member Aug 1, 2011 335 51 Aug 12, 2011 #12 Aisee karibu sana...Keti kitini na ukitaka tende chukua lakini.....
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,026 10,673 Aug 12, 2011 #13 Karibuuuuuuuuuuu...................