Elijah JF-Expert Member May 28, 2012 1,663 416 Aug 18, 2012 #1 habari zenu Great thinkers?? Waama baada ya salamu,napenda kuomba kukaribishwa rasmi JF,home of great thinkers
habari zenu Great thinkers?? Waama baada ya salamu,napenda kuomba kukaribishwa rasmi JF,home of great thinkers
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Aug 18, 2012 #2 karibu, begi weka nyuma ya mlango na vuta kigoda.
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 18, 2012 #3 Wewe nae si ungesubiri eid ipite kwanza?........ndio nini kwenda kwa watu siku za sikukuu? Haya karibu ila usiingie ndani kwanza mpaka Katavi aje akuruhusu........hayo mabegi mpe Ulimakafu akusaidie kuweka ndani! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Wewe nae si ungesubiri eid ipite kwanza?........ndio nini kwenda kwa watu siku za sikukuu? Haya karibu ila usiingie ndani kwanza mpaka Katavi aje akuruhusu........hayo mabegi mpe Ulimakafu akusaidie kuweka ndani!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,703 Aug 18, 2012 #4 Karibu sana kwa niaba ya sweetlady nakurusu uingie ndani, ila soma kwa makini sheria na kanuni zetu hapo nyuma ya mlango. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Karibu sana kwa niaba ya sweetlady nakurusu uingie ndani, ila soma kwa makini sheria na kanuni zetu hapo nyuma ya mlango.
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 18, 2012 #5 Katavi said: Karibu sana kwa niaba ya sweetlady nakurusu uingie ndani, ila soma kwa makini sheria na kanuni zetu hapo nyuma ya mlango. Click to expand... Afadhali umetokea manake mgeni kidogo aage lol........mpe maji tu!
Katavi said: Karibu sana kwa niaba ya sweetlady nakurusu uingie ndani, ila soma kwa makini sheria na kanuni zetu hapo nyuma ya mlango. Click to expand... Afadhali umetokea manake mgeni kidogo aage lol........mpe maji tu!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,703 Aug 18, 2012 #6 sweetlady said: Afadhali umetokea manake mgeni kidogo aage lol........mpe maji tu! Click to expand... Amepoa sasa, hawezi kuaga hapa kafika...
sweetlady said: Afadhali umetokea manake mgeni kidogo aage lol........mpe maji tu! Click to expand... Amepoa sasa, hawezi kuaga hapa kafika...
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 18, 2012 #7 Katavi said: Amepoa sasa, hawezi kuaga hapa kafika... Click to expand... Ndio mana nikakuita chapu manake nakujua vile ulivyo mkarimu kwa wageni lol!
Katavi said: Amepoa sasa, hawezi kuaga hapa kafika... Click to expand... Ndio mana nikakuita chapu manake nakujua vile ulivyo mkarimu kwa wageni lol!
K kasiwani Member Mar 4, 2012 25 2 Aug 19, 2012 #8 Katavi said: Karibu sana kwa niaba ya sweetlady nakurusu uingie ndani, ila soma kwa makini sheria na kanuni zetu hapo nyuma ya mlango. Click to expand... ukisikiaaaa kariiibuuuu ingiaaaaaaaaa......you are warmly welcome...... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Katavi said: Karibu sana kwa niaba ya sweetlady nakurusu uingie ndani, ila soma kwa makini sheria na kanuni zetu hapo nyuma ya mlango. Click to expand... ukisikiaaaa kariiibuuuu ingiaaaaaaaaa......you are warmly welcome......