smatskills
Member
- Nov 12, 2017
- 30
- 19
Habari ndugu zangu, mm mgeni humu, ni vitu gani humu vinafanya nifurahi bila kuwa banned, asante sana
Mgeni umejuaje kama kuna ban?Habari ndugu zangu, mm mgeni humu, ni vitu gani humu vinafanya nifurahi bila kuwa banned, asante sana
Sheria mbona zpo waz mkuuMgeni umejuaje kama kuna ban?
Sasa anauliza nini mkuu?Sheria mbona zpo waz mkuu