asanteni sana wadau wa jf. nina kasi ya ajabu. hope mnaona
walikubann ndo nini.
KARIBU SANA MKUUNaomba mnipokee humu. Nimetazama mijadala katika jukwaa la siasa kwa muda sasa na nikatamani kuchangia ila nilikuwa sina access. Pamoja hadi tuyang'oe magamba