Hodi wana CHADEMA

Acha Roho Mbaya mkaribishe mgeni chamani
Siyo kihivyo bana watu wanachanganya uanachama na ushabiki. hadi uwe mwanachama lazima ujue katiba ya chama na mengineyo muhimu kuhusu chama na siyo kujua vibwagizo tu kama nginjanginja au hakuna kulala. Hawa ndiyo ukikutana ukawauliza maswali rahisi kuhusu chama kama sera ya chama hata hawajui kitu. Wao ni kupiga makofi na kushangilia ndiyo wanajua
 
Asante angalau sasa nimeelewa kwanini umeichagua chadema. Ni hapo kwenye red ni HURUMA YAKO kwa chadema ni si kwa ajili ya sera au muundo wake :A S shade:
 
Asante angalau sasa nimeelewa kwanini umeichagua chadema. Ni hapo kwenye red ni HURUMA YAKO kwa chadema ni si kwa ajili ya sera au muundo wake :A S shade:

sio huruma ndugu yangu kwa nn niihurumie chadema???ila huruma kubwa nliyonayo ni kwangu binafsi na wenzangu kama mimi.ninavyosema why chadema means sera zake na mitazamo yao na jinsi wanavyoelimisha watanzania juu yakupata haki zetu ndo mana naishangaa ccm badala ya kuzifanyia kazi changamoto wanazopewa na upinzani wao wanahangaika kuwatafutia marumbano yasiyo ya maana kwetu.kwa sasa watanzania tunaongozwa na ccm sasa kuna haja gani ya ccm kupoteza muda wao kwa chadema badala ya kuandaa mikakati itayofanya watimize ahadi zao.kusema why chadema sio huruma umenielewa vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…