Hodi ma great thinker.

Criss

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
1,959
Reaction score
3,171
Nimekua msomaji wa jamiiforums kwa muda mrefu,hasa kwenye jukwaa la siasa na mengineyo pia .Nimejifunza vitu vingi kupitia humu hasa namna ya kuzivumilia hoja zinazo kera na namna ya kuzijibu kiustaarabu.Hope mtanipokea na naamini nitajifunza mengi kutoka kwenu wakuu.
 
Karibu sana mkuu
Asante sana mkuu Chatu dume , ila shida bado ni namna ya kuiweka avatar ,,nimejaribu mara kadhaa lakini bado sijafanikiwa ,Naamini kwa kua mkuu wewe ni Senior Member hii kitu kwako inaweza isiwe tatizo.Natanguliza shukrani za dhati kwa kunipokea.
 
Asante sana mkuu Chatu dume , ila shida bado ni namna ya kuiweka avatar ,,nimejaribu mara kadhaa lakini bado sijafanikiwa ,Naamini kwa kua mkuu wewe ni Senior Member hii kitu kwako inaweza isiwe tatizo.Natanguliza shukrani za dhati kwa kunipokea.

mkuu tazama hapo juu kuna sehemu imeandikwa setting utapata maelekezo
 
karibu sana ndugu yangu.wageni nao wanakaribishana
Ni kweli mkuu nakushukuru kwa ukarimu wako,nami nakukaribisha sana kwenye forum la ukweli tehetehe!!:juggle:
 
one had a dream.....he was eating a delicious bread.........waking up find himself had done a good portion of matress.... bla...bla...bla......! MAANA YANGU NI KWAMBA...UNAWEZA UKADHANI UMEINGIA KWENYE MKUTANO WA MA-PROFESA KUMBE UMEINGIA CHUMBA CHA VICHAA.....what will you do?
 
Hahahahahaa!!! Dah!!nitaishi kulingana na mazingira yanavyonielekeza.nimeipenda karibu yako iliyojaa mifano na tahadhari ya kutosha mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…