Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,471
- 105,021
Naona pametokea mkanganyiko wa kuelewana hapa......Karibu Dr![]()
Mmoja amemaanisha Dr/Doctor (karibu)
Mwingine akaelewa karibu ile (Dr) kana kwamba karibu Dar. Baada ya hapo akauliza Dar sehem gani..?
Yaani nimcheka sana aiseeeee....
Dar sehem gani? Me mwenyewe niko dar