Ananani New Member Nov 9, 2010 2 0 Nov 9, 2010 #1 Nimekuta mlango u wazi, nikasema mh, siachi kuingi hapa, MAANA INASEMWAA KUWA "KILICHO WAZI HAKIACHWI JAPO CHA MTU". Jamani hodiiiiiiii
Nimekuta mlango u wazi, nikasema mh, siachi kuingi hapa, MAANA INASEMWAA KUWA "KILICHO WAZI HAKIACHWI JAPO CHA MTU". Jamani hodiiiiiiii
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Nov 9, 2010 #2 karibu...JF ni kila kitu..unaweza ukackeka na avator yangu....:smile-big:
Eeka Mangi JF-Expert Member Jul 27, 2008 3,173 481 Nov 9, 2010 #3 Ananani said: Nimekuta mlango u wazi, nikasema mh, siachi kuingi hapa, MAANA INASEMWAA KUWA "KILICHO WAZI HAKIACHWI JAPO CHA MTU". Jamani hodiiiiiiii Click to expand... Ina maana hukuniona? Basi labda nilikua nakata gogo Karibu mwaya
Ananani said: Nimekuta mlango u wazi, nikasema mh, siachi kuingi hapa, MAANA INASEMWAA KUWA "KILICHO WAZI HAKIACHWI JAPO CHA MTU". Jamani hodiiiiiiii Click to expand... Ina maana hukuniona? Basi labda nilikua nakata gogo Karibu mwaya
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,703 Nov 9, 2010 #4 Karibu sana, licha ya kuwa umekuta mlango upo wazi lakini kuna sheria na kanuni za nyumba hii ambazo inabidi uzizingatie, ngoja nimtafute kaka PJ akupatie sijui kaenda mtaa gani!!
Karibu sana, licha ya kuwa umekuta mlango upo wazi lakini kuna sheria na kanuni za nyumba hii ambazo inabidi uzizingatie, ngoja nimtafute kaka PJ akupatie sijui kaenda mtaa gani!!