memaria...........................,karibu mgeni............................,hongera kuwa mwanajamii wa JF...............................,(naomaba)...........................naamini kuwa ulikuwa una maana ya naomba kupokelewa,.......................................umepokelewa hata kama umekosea kidogo,.............ndo ugeni huo............................,usijisikie vibaya...................................utazoeya tuu...............tafuta na avatar nzuri ujiwekee mwenyewe mwana JF......................................baadaye utajua hata ku PM...................................kuna kugonga thanks pia...............................jifunze tuu pole pole,......................................kuna majukwaaa kadhaaaaaaa, mpaka ya wakubwa kama weye ni mkubwa yapo tele tele................................Kwani? je? weye mdogo au mkubwa????..............................................kuna kuichangia pia JF (uelewe mapema) kwani siku hizi si kama zamani kwani umeme ni wajenerator,simu si kama zamani wakati wa mashirika ya umma unakumbuka shirika la POSTA na SIMU, ....................................................,elewa kuwa mkono mtupu haulambwi..............................................umetanguliza shukrani.......................nami nasema asante sana ,.............................na karibu sana JF,hakika huku kuna kila kitu kizuri na kibaya,.....................................................Utafurahi sana,majukwaa ni mengi na wana JF wanakusubiri kwa hamu sana.........................................................................Ushauri tuu, fuata kanuni na misingi,................................hakika utafurahi sana...............................................Karibu sana Memaria,........................................karibu sana uwanja ni wako........................................hapa ndo JF