Hodi hodi wakubwa zangu

me mgeni naombeni mnipokee na naomba mwongozo
Karibu sanaa wee ni me au ke? Maana kuna mapokezi ya ke na me
Kama ni ke nipm mimi mbere na kama ni me kuna huyo hapo kagwima juu kashapm no nomber yake mtafute
Ke nipm mimi mwenyewe
 
Habari wakuu ,mm ni mgeni katika uwanja huu wa JF,but nakuja na swali VP hili
website ya KUPATANA ni nzuri au imejaa utapel,natanguliza shukran wada,nawaheshmu SNA na ninamiin tutajengana kifira zaid
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom