Hodi hodi Jamii

Kigali

Member
Dec 31, 2011
33
10
Hodi hodi wanajamii.
Mie mwenzenu mgeni, na kama kawaida kuku mgeni hakosi kamba mguuni.
Naombeni ushirikiano wenu humu
Asanteni
 
karibu lakni silaha ulizopewa na kagame ziache ehuko huko mlangoni
sisi ni wapenda amani,hatuna fujo kama rwanda utokako.by the way welikamuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom