BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Karibu sana jamvini kwetu. Jisikie huru kuchangia mjadala wowote ule ambao unaona unaweza kufanya hivyo. Humo kwenye fridge kuna nyama za kuchoma, chapati, sambusa, kalimati, bajia, kabab, bia na soda. Jisikie huru kujichana kwa chochote kile lakini nibakishie sambusa. Ha ha ha ha I am just joking Welcome aboard