Mzuri Hadi udenda unanitoka asee, Jf Bwana Mimi napenda back-end Languages like Node.js ni JavaScript web development, Python hapa natumia framework km Flask na Django, PHP (baba lao), Java km Java, Ruby na C#
Programming ni lugha ya Computer inayoaamuru Computer kufanya jambo flani ambalo mhusika analitaka.
Kwenye programming languages unaweza kufanya chochote
Programming languages zipo nyingi sana kuna baadhi zinafanya kazi zinazofanana na nyingine zinajitegemea
Zifuatazo ni programming languages
1.Php
2.Java
3.Javascript
4.kotlin
5.Dart
6.C
7.C++
8.C#
9.Python
10.Ruby
Hizi ni baadhi tuu ya languages
Unachopaswa kufahamu ni kwamba programming languges kwenye kuandika zinatofautiana ila sheria na misingi ni ilele.
Je ni vitu gani haswa unabdi uvijue unapotaka kujifunza programming?
Mzuri Hadi udenda unanitoka asee, Jf Bwana Mimi napenda back-end Languages like Node.js ni JavaScript web development, Python hapa natumia framework km Flask na Django, PHP (baba lao), Java km Java, Ruby na C#