Ajira zilikua zimefungwa babu..
Kama UDSM (Chuo kikuu cha Tanzania) kimestop kuajiri sembuse hivi vyuo vingine Takataka!!!
Maana vyuo vingine huwa wanaiga kila kitu kutoka UDSM.
Wasikia UD inaajiri, na wao matumbo mbele kutangaza ajira!!
Ndio maana nasema vyuo vingine ni Takataka tuu..
Mzumbe, UDOM, DIT, SAUT, SJUIT, IFM, CBE, ARU vyote Takataka tuu...
Kidoogo SUA na MUHAS vina hadhi.