Hizi teams ambazo tumegoma kuzipa Ufadhili msimu huu zikicheza nasi zinauma sana meno

Hizi teams ambazo tumegoma kuzipa Ufadhili msimu huu zikicheza nasi zinauma sana meno

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,625
Reaction score
29,891
Tumeona... Kuna huo ujinga kuwa kwa sababu hatujazidhamini basi zinakomaa zinapocheza na Yanga. Ili sasa kuvutia GSM iweke dau.

Huo ni ujinga mbwah nyie. Yanga bado ni team bora Afrika kwa sasa. Na ina uwezo mkubwa sana. Tupo nayo na tunatamba nayo. Msimu huu pia tunachukua Kombe. Mtake msitake Yanga Bingwa.

Hilo limeandikwa lazima litimie. Tulisema ni mfululizo mara 10 .hii ni team ya chama na serikali,. Team ya nchi. Team ya Taifa. Utake itafanya vizuri. Usitake itafanya vizuri.
 
Tumeona... Kuna huo ujinga kuwa kwa sababu hatujazidhamini basi zinakomaa zinapocheza na Yanga. Ili sasa kuvutia GSM iweke dau.

Huo ni ujinga mbwah nyie. Yanga bado ni team bora Afrika kwa sasa. Na ina uwezo mkubwa sana. Tupo nayo na tunatamba nayo. Msimu huu pia tunachukua Kombe. Mtake msitake Yanga Bingwa.

Hilo limeandikwa lazima litimie. Tulisema ni mfululizo mara 10 .hii ni team ya chama na serikali,. Team ya nchi. Team ya Taifa. Utake itafanya vizuri. Usitake itafanya vizuri.
Timu bora Afrika inaishia group stage
 
Timu bora Africa kwa sasa zipo robo fainali ya Confederation & CCL!!!

BTW:Hizi timu zinavyo "wadindia" top 3 ndiyo inaleta mvuto zaidi wa kufuatilia ligi yetu.
 
Wenzenu pia wanejiandaa ili washinde mechi ...tatizo letu washabiki wa Simba na yanga mnaamini timu zenu zimetoka mars hazitakiwi kufungwa wala kutoka droo. Msipopata matok
Kwa tabia hizi za mashabiki wa simba na yanga ni ngumu sana kiwango cha mpira kukua Tanzania.
Zamani kombe lilikuwa lina chukuliwa na Majimaji,Sigara,Tukuyu star,Pamba, nk, hakukuwa na ushabiki wa kijinga,kwa sasa ni simba na yanga basi!!
Zibaki hizo timu mbili ziwe zinashindana basi
 
Kwa tabia hizi za mashabiki wa simba na yanga ni ngumu sana kiwango cha mpira kukua Tanzania.
Zamani kombe lilikuwa lina chukuliwa na Majimaji,Sigara,Tukuyu star,Pamba, nk, hakukuwa na ushabiki wa kijinga,kwa sasa ni simba na yanga basi!!
Zibaki hizo timu mbili ziwe zinashindana basi
YAani mkuu washabiki wa hizi timu wamekuwa wapumbavu wa kujitakia yaani hawataki kuskia kitu kingine zaidi ya ushindi...arsenal anaongoza na hajashinda mechi zaidi ya kumi saba ametoka droo na tatu amepoteza lkn huskii makelele ya mashabiki wajinga wajinga km huku kwetu na wasipopata matokeo mechi tatu TU wanazira hata uwanjani hawataki kwenda! Mi nilikuwa naomba timu hizi zikae hata misimu mitano bila ubingwa ili akili ziwakae sawa
 
Back
Top Bottom