carbamazepine JF-Expert Member Joined Dec 30, 2015 Posts 46,569 Reaction score 285,617 Jun 11, 2016 #41 aminiusiamini said: Wanaume na dar bwana!! Click to expand... wanahusiana nini na huu uzi??
pirates lil JF-Expert Member Joined Jun 14, 2016 Posts 958 Reaction score 913 Jun 15, 2016 #42 Ngoja na Mimi no copy na Ku Pest au vip
White party JF-Expert Member Joined May 5, 2015 Posts 1,037 Reaction score 1,179 Jun 15, 2016 #43 Simplicity. said: Sasa mkuu mimi huwa sielewi, mtu anaweka status kama hiyo, yupo chuo mwaka wa pilia anategemea boom, success gani sasa? Click to expand... Kwenda chuo ni success kwani mashoga zake wangapi hawajaenda?
Simplicity. said: Sasa mkuu mimi huwa sielewi, mtu anaweka status kama hiyo, yupo chuo mwaka wa pilia anategemea boom, success gani sasa? Click to expand... Kwenda chuo ni success kwani mashoga zake wangapi hawajaenda?
White party JF-Expert Member Joined May 5, 2015 Posts 1,037 Reaction score 1,179 Jun 15, 2016 #44 Nifah said: Mimi najua ya "Kill them with smile, burry them with success" Mbona ya kawaida sana? Acha ushamba wewe. Mimi wanaonikera ni wale waswahili kutwa vijembe. Aiseee kuna watu wana maneno hatariiii. Click to expand... Utaskia"si bure umerogwaa,.. Kafanyiwe maombi"au "mi ndo kiboko yao, na bado"
Nifah said: Mimi najua ya "Kill them with smile, burry them with success" Mbona ya kawaida sana? Acha ushamba wewe. Mimi wanaonikera ni wale waswahili kutwa vijembe. Aiseee kuna watu wana maneno hatariiii. Click to expand... Utaskia"si bure umerogwaa,.. Kafanyiwe maombi"au "mi ndo kiboko yao, na bado"
DLS JF-Expert Member Joined Feb 18, 2015 Posts 246 Reaction score 152 Jun 16, 2016 #45 Mi hua nasema Whatsapp ni mtandao wa kichonganishi sana.
Bright Smart JF-Expert Member Joined May 4, 2011 Posts 643 Reaction score 312 Jun 16, 2016 #46 Simplicity. said: Sasa mkuu mimi huwa sielewi, mtu anaweka status kama hiyo, yupo chuo mwaka wa pilia anategemea boom, success gani sasa? Click to expand... Inaweza kuwa matokeo ya mtihani yametoka na kapata GPA nzuri kama 4.5GPA ni success kwake
Simplicity. said: Sasa mkuu mimi huwa sielewi, mtu anaweka status kama hiyo, yupo chuo mwaka wa pilia anategemea boom, success gani sasa? Click to expand... Inaweza kuwa matokeo ya mtihani yametoka na kapata GPA nzuri kama 4.5GPA ni success kwake
Comi JF-Expert Member Joined Oct 2, 2011 Posts 3,328 Reaction score 958 Jun 16, 2016 #47 mulafyosa said: Napenda Wavaa Vikuku sababu mi ndo jogoo Lenyewe, Nanyakua Vifaranga kama nina ukoo na mwewe Click to expand... Hahahaaaaa, mbavu
mulafyosa said: Napenda Wavaa Vikuku sababu mi ndo jogoo Lenyewe, Nanyakua Vifaranga kama nina ukoo na mwewe Click to expand... Hahahaaaaa, mbavu
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Jun 16, 2016 #48 Wenye simu feki tayar wameshaanza kubadilisha status kuna mmoja nimemshtukia eti kaandika''BACK TO SCHOOL
Wenye simu feki tayar wameshaanza kubadilisha status kuna mmoja nimemshtukia eti kaandika''BACK TO SCHOOL
Mwiyuzi JF-Expert Member Joined Jun 30, 2011 Posts 854 Reaction score 452 Jun 16, 2016 #49 Simplicity. said: Sasa mkuu mimi huwa sielewi, mtu anaweka status kama hiyo, yupo chuo mwaka wa pilia anategemea boom, success gani sasa? Click to expand... Hata kuingia Chuo ni success eti
Simplicity. said: Sasa mkuu mimi huwa sielewi, mtu anaweka status kama hiyo, yupo chuo mwaka wa pilia anategemea boom, success gani sasa? Click to expand... Hata kuingia Chuo ni success eti
Bright Smart JF-Expert Member Joined May 4, 2011 Posts 643 Reaction score 312 Jun 16, 2016 #50 Mwiyuzi said: Hata kuingia Chuo ni success eti Click to expand... Kweli kabisa mkuu tena ni success lucrative sana
Mwiyuzi said: Hata kuingia Chuo ni success eti Click to expand... Kweli kabisa mkuu tena ni success lucrative sana