Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Eti jamani, haya masoda ya bila sukari mwenzenu nilifikiri hayana kabisa sukari
Ajabu ukinywa hayana tofauti na yale ya kawaida au hii sukari wao wanaona ni ndogo mbaya zaidi watu wenye matatizo ya afya nao utasikia naomba hio bila sukari lakini leo nimekunywa moja naona haina tofaut na za kawaida au ni fix tu.
Ajabu ukinywa hayana tofauti na yale ya kawaida au hii sukari wao wanaona ni ndogo mbaya zaidi watu wenye matatizo ya afya nao utasikia naomba hio bila sukari lakini leo nimekunywa moja naona haina tofaut na za kawaida au ni fix tu.