Hizi simu za Tecno Spark 3 zina matatizo gani?

Hizi simu za Tecno Spark 3 zina matatizo gani?

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,672
Habari za wikiendi wataalamu.
Kuna simu hapa Tecno Spark 3, tatizo lipo upande wa network.
Sehemu ya kuseti network kuna option mbili tu ambayo ni
[emoji819]3G
[emoji819]2G


1. Uliweka 3G laini zinaandika Emergency Calls Only

2.Ukiweka 2G minara inasoma kama kawaida ila ukijaribu kumpigia simu mtu hata aliyekuwepo jirani yako inaita tu hata jirani yako hapati taarifa kama unapiga simu.

Msaada wenu wataalamu.

Mwl.RCT
Chief-Mkwawa
 
Kwanza:Utashangaa inaanza kujiwasha tochi yenyewe ukiwa umeiweka mfukoni utashangaa tu paja linaungua kwa mbaaaaaaaaali.

Pili:Itaanza kujiwasha bluetooth yenyewe utashangaa hata ndege/chombo cha usafiri chochote kile kikipita karibu yako simu inakuandikia Device detected.

Asante.
 
Ni simu zote au yako tu?

Haijalokiwa na mtandao mmoja tu kama tigo?
 
Nimeenda kule nimeliwa 30k yangu kwa mafundi watatu tofauti.
Duh,pole ila siwezi nikasema kuwa spark 3phones ni mbovu,maana mimi na mama watoto wangu tunatumia simu za spark 3,hebu jaribu kuifanyia restoration ili kufuta kila kitu na kuifanya iwe ka mpya katika mfumo wake wa software
 
Duh,pole ila siwezi nikasema kuwa spark 3phones ni mbovu,maana mimi na mama watoto wangu tunatumia simu za spark 3,hebu jaribu kuifanyia restoration ili kufuta kila kitu na kuifanya iwe ka mpya katika mfumo wake wa software
Shukrani mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom