RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,382
- 1,851
- Thread starter
-
- #21
Duu! Kumbe! Ilikuwa ofisi za wapi? Mie Mwanza walinipokea vizuri.hawa jamaa hawana customer care kabisa niliwahi kuwatembelea walivyonipokea tu nikabadili uamuzi wangu wa kubadili roof ya gari. Ila wanafanya vizuri ila customer care siyo nzuri kabisa.
Mwenye uelewa na hawa jamaa wanajiita capitalzone4*4 katika instagram anijuze naona wako vizuri wanafufua mnoo landrover.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu! Jamaa wako vizuri aise. Kwa hiyo unawauzia gari au wanafufua unawalipa? Hii kitu safi saana. Bongo tunaelekea pazuri kwenye department ya magari.Mkuu nampata huyo leader wao Raph, wapo Arusha. Yule jamaa na timu yake wanafufua landrover inakua mpya kabsa. Wana ubunifu wa hali ya juu sanaView attachment 1061081View attachment 1061083View attachment 1061084View attachment 1061086
Yes mahikaji ndio huyo, hawa jamaa nawakubali saana, nafatilia mwa makini mnooo kazi zao.Mkuu nampata huyo leader wao Raph, wapo Arusha. Yule jamaa na timu yake wanafufua landrover inakua mpya kabsa. Wana ubunifu wa hali ya juu sanaView attachment 1061081View attachment 1061083View attachment 1061084View attachment 1061086
Hawanabudi kuendana na mahitaji ya soko.Okay, basi unabidi upange kukaa nayo muda mrefu. Unajipanga mdogo unaiboresha. Binafsi napenda saana kukaa na gari muda mrefu. Unajenga chemistry na gari. Hata jamaa akifika bei inakuwia vigumu saana kulitoa.
Y60 kwa kweli, ni moja ya my favourite Nissans of all times. Siku hizi sipendi mwonekano wa Patrol. Zimepambwa saana.
Na mimi nimeshangaa nikajiuliza wa nyumbani kabisa hawa?Daa! Jamaa wanajielewa aise. Hata web yao imekaa vizuri.
Raphkovik?Za kizamani hzo 109 na nduguze, mfano wakiikuta labda imechoka ipo imepaki, nazungumzia kule kuchoka kweli kiasi watoto wanaweza kuchezea kombolela, mzee akawaambia nyie mtakajikata na mabati hayo sindano zenyewe za tetenasi tabu, hahaaa..
Wao wanaichukua sijui huwa wanawalipa kidogo, kisha wanaenda ifufua upya kuna jamaa anaitwa raphkovic km sijakosea sijui ndio bosi wao nao km 3 hv anazitembelwa kwenye Instagram page yake
Sent using Jamii Forums mobile app
capitalzone 4x4 yeye amejikita katika kununua old LR na kuzifufua then anaziuza kwa faidaMwenye uelewa na hawa jamaa wanajiita capitalzone4*4 katika instagram anijuze naona wako vizuri wanafufua mnoo landrover.
Sent using Jamii Forums mobile app
MACAUTO anauza seats covers (imported) hatengenezi labda kama ameanza kutengeneza siku hiziJamaa wapo vizuri sana
Nakuna Jamaa pia wanajiita Macauto pia wapo vizurView attachment 1061110View attachment 1061111View attachment 1061112View attachment 1061113View attachment 1061114
Hehehee! Huu ujuzi lazima wametoa ng'ambo aise. Wako vizuri.
I wish niwaone wakifanya hiyo kazi. I hope hawatapandisha bei au kushusha quality. Maana wateja wanazidi kuwa wengi.wanafanya kazi nzuri sana kuna kagari kakongwe toyota CAMI nilikapeleka ila siyo seats nilienda kutengeneza dashboard na roof liner niliridhika na huduma yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao jamaa na Arusha wapo. Hiyo nafikiri wanaitoa kama ilivyo. Watafute uongee nao.Kwa Arusha...kama kuna fundi anaweza kutengeza hii seat cover kama inavyoonekana hapa....ajitaje siku moja nimtembelee nikiridhika tufanye kazi...kale kagari nataka kuka-cutomise kuke ndani nalaaView attachment 1061214
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok napenda hiyo rangi sana.....itapendeza sanaHao jamaa na Arusha wapo. Hiyo nafikiri wanaitoa kama ilivyo. Watafute uongee nao.