RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,371
- 1,836
- Thread starter
- #21
Duu! Kumbe! Ilikuwa ofisi za wapi? Mie Mwanza walinipokea vizuri.hawa jamaa hawana customer care kabisa niliwahi kuwatembelea walivyonipokea tu nikabadili uamuzi wangu wa kubadili roof ya gari. Ila wanafanya vizuri ila customer care siyo nzuri kabisa.