wanakuingiza, wanakupaisha, na wakati mning'inio ukiwa juu wanakutelekeza hewani. Onyo hili wapewe pia Ma-super star wa Bongo wenye mvuto Nchi za nje.Amy Winehouse kabla madawa hayajamuharibu, na siku za baadae kabla ya kifo chake
![]()
Yaani umeenda mbali sana.....hata kwetu wapo ni shida.Amy Winehouse kabla madawa hayajamuharibu, na siku za baadae kabla ya kifo chake
![]()
ALAFU Wakuu Lugha Ya Kiswahili Hatuna Neno MADAWA, Bali Tuna Neno DAWA!! Iwe Za KULEVYA Au KUTIBU!!!!
Pia hakuna neno ALAFUALAFU Wakuu Lugha Ya Kiswahili Hatuna Neno MADAWA, Bali Tuna Neno DAWA!! Iwe Za KULEVYA Au KUTIBU!!!!
NIMEZALIWA Pwani, Nimekulia Pwani, Na Ninaishi Pwani!! Hivyo Kiswahili Ni Asili Yangu!! Kuweka Herufi Kubwa Ni Kuweka Msisitizo Tu!!! Kama Neno "ALAFU " Si Sahihi Na Sahihi Ni "HALAFU " Labda Kiswahili Chenye Rafudhi Za Lugha Mama Ya Asili Yako!!! Kama Ilivyo Kwa Neno "DAWA " Na Si "MADAWA " Si Ndio Nyinyi Wale Mnaotutaka Kukubali Mnaposema Neno "NYIMBO HII " Badala Ya Kusema "WIMBO HUU "!!!Pia hakuna neno ALAFU
Rafudhi ni nini?NIMEZALIWA Pwani, Nimekulia Pwani, Na Ninaishi Pwani!! Hivyo Kiswahili Ni Asili Yangu!! Kuweka Herufi Kubwa Ni Kuweka Msisitizo Tu!!! Kama Neno "ALAFU " Si Sahihi Na Sahihi Ni "HALAFU " Labda Kiswahili Chenye Rafudhi Za Lugha Mama Ya Asili Yako!!! Kama Ilivyo Kwa Neno "DAWA " Na Si "MADAWA " Si Ndio Nyinyi Wale Mnaotutaka Kukubali Mnaposema Neno "NYIMBO HII " Badala Ya Kusema "WIMBO HUU "!!!
KISWAHILI Mkuu Ni Bahari Jmn!!!Rafudhi ni nini?