Hizi picha zinanishangaza..

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,514
11,277
Mambo ya vidoleeez
Au makamu alikuwa akipewa amri, na wewe nyoosha vidole?
13.jpg 9.JPG
 
du, sasa hapo umeshangaa nini? au nao huu ni uchambuzi wa kipolitiko?
Kinachoshangaza ni vidole mkuu,kwa kawaidi anayeonyesha hunyoosha kidole na anaonyeshwa huangalia,sasa cha ajabu ni kwamba wote wamenyoosha vidole!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom