Mambo ya vidoleeez
Au makamu alikuwa akipewa amri, na wewe nyoosha vidole?
View attachment 23517View attachment 23518
Endelea kushangaaa tuuu,siku likitua miguuni mwako ndio utaacha kushangaa!!!Mambo ya vidoleeez
Au makamu alikuwa akipewa amri, na wewe nyoosha vidole?
View attachment 23517View attachment 23518
Endelea kushangaaa tuuu,siku likitua miguuni mwako ndio utaacha kushangaa!!!
du, sasa hapo umeshangaa nini? au nao huu ni uchambuzi wa kipolitiko?
Endelea kushangaaa tuuu,siku likitua miguuni mwako ndio utaacha kushangaa!!!
HAHHA au akilikalia
Tanmo, ur a good observer. It looks like a ballet dance.
Mkuu cheki jamaa ni kama vile anaiga kwa vitendo kila kinachofanywa na afande..
I see!
I see!
Kweli mkuu..
Hapo nini mchumba wa mwenziye??
Kinachoshangaza ni vidole mkuu,kwa kawaidi anayeonyesha hunyoosha kidole na anaonyeshwa huangalia,sasa cha ajabu ni kwamba wote wamenyoosha vidole!!du, sasa hapo umeshangaa nini? au nao huu ni uchambuzi wa kipolitiko?
Natamani liwalipukie hapo
Sister acha roho mbaya!waombee heri tu!!
Tuachane na agano la kale!mtu akikupiga shavu la kulia,basi mgeuzie la kushoto kama alivyotufundisha yesu kristu!!au wewe ni CUF!!Jino kwa jino:rain::rain: