Hizi ARV zimesababisha huu ugonjwa tuuone kama malaria na kujisahau. Bora wangejitangaza tu wote tuwajue.Hata kama picha hazina ukweli, lakini kuna funzo zinatoa kuhusu maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwamba huwezi kumtambua mtu aliyeathirika kwa kumtizama.
Tahadhari za kujikinga dhidi ya maambukizi ni muhimu kuzingatiwa wakati wote. Mathalani ukimtizama mrembo huyo pichani, ikitokea akakurudhuku game, kwa wale mabaharia uwezekano wa kuloweka ni mkubwa sana.
Allah atunusuru Wallahy
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha naona umemtoka kiustadi sana
Hahaha naona umemtoka kiustadi sana
Hizi ARV zimesababisha huu ugonjwa tuuone kama malaria na kujisahau. Bora wangejitangaza tu wote tuwajue.
Hizi ARV zimesababisha huu ugonjwa tuuone kama malaria na kujisahau. Bora wangejitangaza tu wote tuwajue.
"Usitutishe" in Maalim Seif voiceView attachment 1062951 kwa mbali namuona nanihii. Nimeziona asubuhi hii nikastuka Kidogo View attachment 1062943View attachment 1062944View attachment 1062945View attachment 1062946View attachment 1062948View attachment 1062949View attachment 1062950
You are strong than what you think...
Hatari sana.Mtoto chura chura alafu hii picha umepiga mwenyewe eneo la tukio
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu tunachangia picha kwa mihemuko bila tafakari yoyote ile.Kunenepa na kupungua ni hali ya kawaida tu katika maisha hata bila msaada wa arv.
Huyo dada labda angeweka na vipimo vyake hapo ningechangia kwa usahihi ila tofauti na hapo huku ni kupiga ramli
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mdogo mdogo tutufika mkuu condom inakinga usiache kutumia kila mara uchepukapo kupiga v2 v3 ni ufala piga kimoja kimbia futa number kabisa
Kwanini?hiyo picha ya kwanza huyo bodaboda anapata ajali soon, ila watu wa hivi wanaondoka ghafla tu. utasikia kesho hatunae..
Hii lugha ya nchi gani.....Hata sijaelewa
'When youβve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.β David Alaba
Au tufanyeje ππππ Maana kuacha ni ngum Sana Sana!!!
Hatuogopi kufa Tena, business as usualHuu ugonjwa kama umeachwa kuzungumzwa siku hizi
Ukipata ngoma mbona Utaacha tu mwenyewe?Au tufanyeje [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] Maana kuacha ni ngum Sana Sana!!!