Leta na wanaume warefuWanawake warefu wana tabia za kukera sana tofauti na Wanawake wengine, Ni wajeuri, viburi, na wanajiamini kupindukia, Ni wagumu sana mara nyingi wanapotongozwa, wanapenda kunyeyekewa sana, na Ni wavivu ktk kufanya kazi, wengi wao wana hekima sana na uzuri wao ni kuwa wanapoamua kuolewa wanajua sana kutunza ndoa na wanajua kupenda pia, ila tatizo lao wana ulimbukeni wa kupenda kuonekana na kusifiwa hata kwenye hakuna.
Wanapenda sana maisha ya gharama na hasa mavazi, chakula, simu na usafiri, inapotokea ukaoa mwanamke mrefu anayejituma sana ktk kazi ujue hata dharau yake inaweza kuwa kubwa endapo atafanikiwa, kitandani si watamu sana ukilinganisha na kina andunje.
Hawapendi kuolewa na wanaume wafupi na ukikuta mwanamke mrefu kaolewa na mwanaume mfupi ujue 99% kampendea pesa na wakiongozana njiani huwa hawatangulizani pamoja lazima waachane kwa mita kadhaa, nyodo na maringo ndo zao.
Ni wasumbufu kwa mambo mengi sana, kifupi ni bora uoe mwanamke wa saizi ya kati kuliko mrefu, maana ikitokea akawa malaya basi wanajua sana kucheza na wanaume wenye pesa bila kujali afya zao.
Ni vizuri ukawa na uelewa wa kuzaliwa usisubiri hadi kila kitu utafuniwe, si wote wana hekima na si wote wana nyodo ni baadhi yao tu.uwongo uwongo weka mbali na binadamu.mtu anahekima alafu kibur na jeur?
Sawa basi oa wa size ya kati mana wafupi nao wana kasoro zake
Wanawake warefu wana tabia za kukera sana tofauti na Wanawake wengine, Ni wajeuri, viburi, na wanajiamini kupindukia, Ni wagumu sana mara nyingi wanapotongozwa, wanapenda kunyeyekewa sana, na Ni wavivu ktk kufanya kazi, wengi wao wana hekima sana na uzuri wao ni kuwa wanapoamua kuolewa wanajua sana kutunza ndoa na wanajua kupenda pia, ila tatizo lao wana ulimbukeni wa kupenda kuonekana na kusifiwa hata kwenye hakuna.
Wanapenda sana maisha ya gharama na hasa mavazi, chakula, simu na usafiri, inapotokea ukaoa mwanamke mrefu anayejituma sana ktk kazi ujue hata dharau yake inaweza kuwa kubwa endapo atafanikiwa, kitandani si watamu sana ukilinganisha na kina andunje.
Hawapendi kuolewa na wanaume wafupi na ukikuta mwanamke mrefu kaolewa na mwanaume mfupi ujue 99% kampendea pesa na wakiongozana njiani huwa hawatangulizani pamoja lazima waachane kwa mita kadhaa, nyodo na maringo ndo zao.
Ni wasumbufu kwa mambo mengi sana, kifupi ni bora uoe mwanamke wa saizi ya kati kuliko mrefu, maana ikitokea akawa malaya basi wanajua sana kucheza na wanaume wenye pesa bila kujali afya zao.
Sasa ndo useme kama n mwanamke wako tuu na sio kusema in generalNi vizuri ukawa na uelewa wa kuzaliwa usisubiri hadi kila kitu utafuniwe, si wote wana hekima na si wote wana nyodo ni baadhi yao tu.
huyu mleta uzi hajielewi kabisa asituvuruge vichwa vyetuaisee umesema ni
1.wajeuri
2.viburi
3.wanajiamini kupindukia
Ila wengi wao wana hekima sana....hao hao wenye sifa 1,2 ndio wenye hekima?