Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Hii ina apply zaidi kwa tradition za kizungu sio za kibongo, unless zinalenga familia za kibongo zinazoishi kiulayaulaya. Kwamfano wachaga kutoka na wake zao ni kwenye harusi au msiba.
<br />
<br />
Leo nimependa post yako hii kuliko maelezo
<br />Ile ya ushuzi hukuipenda?