Hizi ndizo speed za Tigo 4G LTE

Hizi ndizo speed za Tigo 4G LTE

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
5,757
Reaction score
2,388
Nimepewa Line leo na niko naijaribu hapa imekuja na kifurushi cha bure ila sijaelewa kama 5times faster than normal 3G speed ndo hizi au hapa nilipo majanga...Speed zao nazilinganisha na Airtel 3G maana 2MB/sec hata Airtel kipindi wana vifurushi vyao vile sawa na bure nilikua mtumiaji na speed zilikua zinapanda mpaka 2.5MB/sec


pgeSYQ.png








UPDATE
Leo mchana niliponunua line ya 4G sikujua kwamba eneo la Upanga Magharibi kuna 4G hivo nilienda masaki kwa wadau zangu na ndo niliko testia speed haikua impressive hayo maeneo...Ila nimeshangazwa kwa nn wanasema maeneo yenye 4G ni mawili tu
Kwa sasa nipo hapa Upanga Magharibi speed kwa kweli ya ku download na ku stream Youtube ni moto wa kuotea Mbali kwa sasa naweza ku wa rate Tigo na 4G 8/10 stars
Tatizo tu kuna pages hazifunguki

y7jD51.png
 
kwa 4g ni speed ya kawaida ila ukilinganisha na hali yetu ya speed hio ni speed nzuri. lets hope hawatapandisha vifurushi vya 4g bei.

hii pia itasaidia kupunguza msongamano kwa watumiaji wa 3g kama watatumia infrastructure tofauti.
 
kwa 4g ni speed ya kawaida ila ukilinganisha na hali yetu ya speed hio ni speed nzuri. lets hope hawatapandisha vifurushi vya 4g bei.

hii pia itasaidia kupunguza msongamano kwa watumiaji wa 3g kama watatumia infrastructure tofauti.
Kama unapata speed ya 1MB/sec average kwa 3G provider is it worthy kulipia 100,000/= ya Modem na 10,000/= ya line na 10,000/= ya 1GB per week kwa 4G provider afu speed ikipanda sana unapata 3MB/sec?
Yaani average yao ni 1MB/sec-1.8MB/sec hiyo 2MB/sec inaenda mara chache

Mm nafikiri Technologia ya 4G iko expensive kuanzia kununua Vifaa na vifurushi sasa wasitupe low quality speeds....

Labda waloenda kushuhudia hii 4G pale Mlimani City watupe feedback
 
Kama unapata speed ya 1MB/sec average kwa 3G provider is it worthy kulipia 100,000/= ya Modem na 10,000/= ya line na 10,000/= ya 1GB per week kwa 4G provider afu speed ikipanda sana unapata 3MB/sec?
Yaani average yao ni 1MB/sec-1.8MB/sec hiyo 2MB/sec inaenda mara chache

Mm nafikiri Technologia ya 4G iko expensive kuanzia kununua Vifaa na vifurushi sasa wasitupe low quality speeds....

Labda waloenda kushuhudia hii 4G pale Mlimani City watupe feedback

kama kuna extra cost hailipi lakini kama unaeka line tu kwenye simu na vifurushi ni same price sio mbaya
 
kama kuna extra cost hailipi lakini kama unaeka line tu kwenye simu na vifurushi ni same price sio mbaya
Kwa kuweka kwenye simu ni sawa na nafikiri nao wame target sana simu labda ndo maana...
Maana Line yao tayari imekatwa kama zile za voda ila hii yao ina pc tatu Line kubwa,Micro na Nano.
Pia katika tovuti yao page ya 4G imetoa tu guide kwa wale wenye kuitaji 4G kwenye simu
 
Sasa tutapata huduma ya
4g kwa line mpya au hizi tunazotumia mkuu
 
Njunwa Wamavoko katika hiyo picha uliyoambatanisha kuna vitu viwili naviona...

1. Kasi ya mtandao (download & upload speed kwa wakati huo wa hiyo session)
Tazama chini hapo kwenye vijishale viwili, hicho chekundu na kijani.

Kwa uelewa wangu hii ndio kasi ya mtandao kwa wakati na eneo ulilopo.

2. Kasi ambayo kifaa chako kimeruhusu au mfereji unaoutumia kupakua umeruhusu.

Sasa bado sijajua concern yako au wataka kutupatia taarifa gani mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Njunwa Wamavoko katika hiyo picha uliyoambatanisha kuna vitu viwili naviona...

1. Kasi ya mtandao (download & upload speed kwa wakati huo wa hiyo session)
Tazama chini hapo kwenye vijishale viwili, hicho chekundu na kijani.

Kwa uelewa wangu hii ndio kasi ya mtandao kwa wakati na eneo ulilopo.

2. Kasi ambayo kifaa chako kimeruhusu au mfereji unaoutumia kupakua umeruhusu.

Sasa bado sijajua concern yako au wataka kutupatia taarifa gani mkuu?

Labda haujaoma maelezo au wala comment umeangalia tu picha bila shaka...
Ngoja labda niingie library ya picha zangu za zamani nkuchukulie picha ya Airtel 3G na utaliganisha na speed za Tigo 4G kwa hapo utaelea nachoongelea....
Labda pia ni vema ujue 4G na 3G ipi inatakiwa iwe na speed kubwa...
haiwezekani nipate maximum speed ya 4G ifanene na maximum speed ya ISP wa 3G

Judge by yourself kwa hii picha hapa chini na hii speed ya 17Mbps sio ya kubahatisha nina picha nyingi ukitaka naweza kukutumia

FXcTl5.png
 
Asante kaka hapa ktk page yao maswali yote yamejibiwa
 
Unaitaji Line mpya ila pia unaruhusiwa ku swop uliyo nayo wakai upgrade kuja 4g na itakua na uwezo wa kutumika kwenye 4G na 3G

ongeza maarifa zaidi kwenye page yao

Tigo 4G | Tigo.co.tz

Sasa hivi nina line ya tigo ambayo natumia huduma mbali mbali...
Je nikitaka kununua hiyo ya 4G naweza kutumia huduma nyinginezo kama sms, kupiga na kupokea simu?...
Na je nikiwa najiunga vifurushi hivi vya kawaida vya internet kama cha siku au wiki au mwezi itakuw ainapiga mzigo kwa speed ya 4G?...
Au kuna vifurushi special vya 4G? Gharama zake zipoje?...
Na hiyo 4G naipata Dar tu au nchi nzima?...
Shukrani..
CC Chief-Mkwawa
 
Last edited by a moderator:
Sasa hivi nina line ya tigo ambayo natumia huduma mbali mbali...
Je nikitaka kununua hiyo ya 4G naweza kutumia huduma nyinginezo kama sms, kupiga na kupokea simu?...
Na je nikiwa najiunga vifurushi hivi vya kawaida vya internet kama cha siku au wiki au mwezi itakuw ainapiga mzigo kwa speed ya 4G?...
Au kuna vifurushi special vya 4G? Gharama zake zipoje?...
Na hiyo 4G naipata Dar tu au nchi nzima?...
Shukrani..
CC Chief-Mkwawa

Hatutoweza kukupa majibu sahihi ki vile mpaka usome page yao ya 4G
Nimeweka link hapo juu na hapa chini....
4G ipo Masaki na Mlimani City area tu kadri ya maelezo ndani ya website yao
Lakini mm nipo Upanga Magharibi napata hiyo 4G
Hauwezi tumia kifurushi cha 3G kupa speed ya 4G lazima ununue kifurushi cha 4G bei yake ni 10,000/= per 1GB per week....
Ikumbukwe line ya 4G inaweza tumika kufanya kazi zote ambazo zinafanywa na line ya 3G hivo naweza kuiita "ALL in 1"
Mikoani watafika August na wanajitaidi kiukweli kwa hapa nilipo

TEMBELEA HAPA Tigo 4G | Tigo.co.tz
 
kutuma msg inafika kesho,namba umesav unaambiwa haipo,ukipiga cm ni network failure often,3g yenyewe imewashinda ni mtandao usio aminika kwa upande wangu umenizingua occasions nyingi zenye umuhimu mpaka nimeuhama huu mtandao wajitahdi kuiprove vitu vingne ila sio kukurupuka na hyo 4g kwanza wataitumia watu wangap?wanaongoza mbio kwa baskeli ya barafu wakat jua linachomoza hata waseme wanaenda 6G ni magumashi tu
 
kutuma msg inafika kesho,namba umesav unaambiwa haipo,ukipiga cm ni network failure often,3g yenyewe imewashinda ni mtandao usio aminika kwa upande wangu umenizingua occasions nyingi zenye umuhimu mpaka nimeuhama huu mtandao wajitahdi kuiprove vitu vingne ila sio kukurupuka na hyo 4g kwanza wataitumia watu wangap?wanaongoza mbio kwa baskeli ya barafu wakat jua linachomoza hata waseme wanaenda 6G ni magumashi tu
Kwenye 3G kwa hapa DSM maeneo mengi wamechemka
 
Back
Top Bottom