bitaly athumani Senior Member Aug 21, 2015 158 90 Dec 25, 2016 #41 Naomben mnivumilie mwezi mmoja au mmoja na nusu hazitafika miwili.Lakini huu ni wa sita na bdo.
Ulukolokwitanga JF-Expert Member Sep 18, 2010 8,396 7,968 Dec 25, 2016 #42 Machinga fanyeni biashara mahala popote hadi mtakapotafutiwa maeneo mbadala na yawe sehemu zenye biashara, sio kule Kiloleli"
Machinga fanyeni biashara mahala popote hadi mtakapotafutiwa maeneo mbadala na yawe sehemu zenye biashara, sio kule Kiloleli"
Lambardi JF-Expert Member Feb 7, 2008 16,499 17,372 Dec 25, 2016 #43 Tanzan nchi tajiri nataka wazungu waje wakope.......
fasiliteta JF-Expert Member Jul 2, 2014 2,165 3,655 Dec 25, 2016 #44 KUNYWA MAJI MWANANGU.nikikumbuka nacheka sanaaa