magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 13,292
- 31,930
Habari zenu wakuu!!
Hivi kwanini humu JF mnatumia ID za kustaajabisha sana! Yaani kuna mda nikikaa peke yangu huwa nacheka nikikumbuka baadhi ya ID! Mara ya kwanza nlikutana na hii hapa Tangopori nikasema mwe! Sijakaa sawa nkakuta na hii MziziMkavu, afu huyu mwingine Nyanidume
Sasa kiboko yao huyu kichwanazi yaani hili jina kila nkilisoma nacheka mwenyewe!
Si kule kwetu FB huwa tunaiita prince au unajiita carzola ze don a.k.a kingswade n.k!
Sasa huku si ajabu kukuta mtu anaitwa kula kwa tindo
Anywei hizo jinaz mi nazipenda!
NB: NIMEMALIZA FORM FOUR 2012 MSIJAJI UWEZO WANGU WA KUFIKIRI.
Hivi kwanini humu JF mnatumia ID za kustaajabisha sana! Yaani kuna mda nikikaa peke yangu huwa nacheka nikikumbuka baadhi ya ID! Mara ya kwanza nlikutana na hii hapa Tangopori nikasema mwe! Sijakaa sawa nkakuta na hii MziziMkavu, afu huyu mwingine Nyanidume
Sasa kiboko yao huyu kichwanazi yaani hili jina kila nkilisoma nacheka mwenyewe!
Si kule kwetu FB huwa tunaiita prince au unajiita carzola ze don a.k.a kingswade n.k!
Sasa huku si ajabu kukuta mtu anaitwa kula kwa tindo
Anywei hizo jinaz mi nazipenda!
NB: NIMEMALIZA FORM FOUR 2012 MSIJAJI UWEZO WANGU WA KUFIKIRI.
Last edited by a moderator: