BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 2,661
- 4,608
nasikia kwa bachelor salary mi 1.3mWana viwango vidogo namjua jamaa ana masters hapo analipwa 2.2mil ana miaka zaidi ya 14 kazini .
Pia sio pazuri kwa vile ni shirika la mda sana, hawana field wala nn ,hata training unaweza kosa mwaka mzima .