both teams to score-YES
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 963
- 1,847
TEMESA je..kwa Engineers wanalipa vzr?plus allowances
Huyo jamaa yuko outdated sanaPrivate sectors zilizo stable wana permanent and pensionable contracts, mfano CRDB, NBC etc zipo nyingi tu sio serikalini tu mkuu...fuatilia.
- Gaming Board of Tanzania
- Tanzania Insurance Regulatory Authority
PSSFMbona psssf hawatangazi ajira zao pamoja na nssf wafanyakazi wao wanatokea wapi
Nida wanalipajeBinafsi nimesoma nikaishia tu kushangaa
Nadhani kuna namna tunaishi kwa kukaririshwa sana.
Mleta mada hajajua kuna taasisi zinalipa vizuri hizo alizozitaja hapo zinasubiri..
Mfano mdogo ni CMSA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hua hawafaidi pesa zao, mana magonjwa kisukari mara presha, mara HIV, shinikizo la damu, unene uliopindukia,magnjwa ya figo, n.kBunge nasikia ni hatari
Ewure mbona mwaka jana wameajiri kupitia psrsPSSF
EWURA
NSSF
Hawa jamaa hawatangazi kazi kabisa as if watu hawastafu,hawafi au hawaami.
UthitubutuTEMESA je..kwa Engineers wanalipa vzr?plus allowances
Bunge nasikia ni hatari
Issue ni kwamba kahamia wapi? Na huko anakokwenda anakwenda kama nani?
Nasikia hali mbaya hukoUthitubutu
Ila patakuwa na poshoNasikia hali mbaya huko
Issue ni kwamba kahamia wapi? Na huko anakokwenda anakwenda kama nani?
Ok sawa, na je huko anakoenda anaenda kuvuta sh ngapi?Sijapaweka on purpose ila ni fairly pazuri (imo kwenye list). Anaenda kwa same position aliyokua nayo.
Kawaida kiaina.Ok sawa, na je huko anakoenda anaenda kuvuta sh ngapi?
1.5m gross imefika?Kawaida kiaina.
1.5m gross imefika?