Mama Samia vs Mwendazake
1. Hapendi unafiki 1.
2. Ananyoosha maelezo
3. Hapendi uongo uongo
4. Ni mpenda demokrasia
5. Hatumii nguvu kutuongoza
6. Hana jaziba kuliendea jambo
7. Ni msikivu
8. Ni mwanamaendeleo
Kwa hiyo za Mwendazake ni opposite ya hizo ama? !!