DON SINYORI
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 511
- 417
mtoa mada uko sahihi sana. zooote ulizotaja hakuna nyimbo hapo. ukijumlisha na za dully sykes za hapa karibuni. jumlisha marry you ya dimondi. hovyo kabisaaaa
Wewe ni Mkurya?Mkuu sio lazima wote tuwe wasanii,ni sawa na ukisema kicha fulani anaharibu team harafu useme basi uwe kocha wew
Acha kuuliza makabila ya watu,utauliza wangapi mjini hapa kuna watu wengiWewe ni Mkurya?
Mbona kila siku anatoa mbovu mkuu,,wewe ndio unagundua leoHuo WA chege kwel ni mbovu na umefel pamoja na kupigwa Sana clouds,Kwa Mara ya kwanza naona wimbo mbovu toka Kwa chege
John makini hamna kitu kbs zero kbsWaya ..by joh makini...nyimbo mbovu saanaaa
Mimi nyimbo zangu mbovu ni Yono wa Dully,Marry u-Diamond x Neyo,Weka Muziki-Darasa,Moyo sukuma damu-DitoHabari wakuu,sio jambo jema kusema msanii fulani anabebwa,kwa kuwa msanii hawezi kutoa nyimbo zote mbovu bali kuna baadhi tu ya nyimbo mbovu atatoa.hizi ndio nyimbo mbovu za bongofleva ila zinabebwa na media(radio na tv).
1. Kijuso ya Rayvan na queen dalin
2. Waya ya Joh makini
3. Yono ya Dully sykes
4. Hela ya Madee
5. AY yupo a dada mmoja jina la wimbo silijui ila ni mpya
6. CHEGE yupo na dada mmoja jina la wimbo silijui ila ni mpya
Hizo ndio zangu mbaya ila redioni zinapigwa sana ,ongezea na wewe za kwako
NB:kuupenda wimbo tumetofautiana,mimi mala ya kwanza nikisikia wimbo,basi hapohapo jibu linakuja,nisipoupenda hapo basi sitaupenda tena,ilas wengie jinsi wimbo unavopigwapigwa redioni anajikuta anaupenda(unakaririshwa hadi unakariri),
Radha = ladhaNaangalia radha kwanza,mashairi sizingatii maana hata dovido anaimba kinigeria ambacho sikijui ila huwa napenda radha yake.
Darrasa=DarasaHao wote walichanganywa na MUZIKI ya Darrasa ndio mana wamepuyanga
Duh!umenichekesha sana mzee baba,habari za Munich lakini!Kuna wasanii wanatoa nyimbo lakini hata wao wenyewe wanashindwa kusikiliza halafu wanataka sisi ndo tuzipende. Kama hiyo Yono sijui kama Dully anaweza kukaa geto akaisikiliza
Unata kusema mwenye jina lake alikosea ila wewe ndio umepatia?Darrasa=Darasa
Tena sanaWaya na yono kwangu ni nyimbo za ovyo sana