Hizi ndio nyimbo mbovu ila zinabebwa na media

mtoa mada uko sahihi sana. zooote ulizotaja hakuna nyimbo hapo. ukijumlisha na za dully sykes za hapa karibuni. jumlisha marry you ya dimondi. hovyo kabisaaaa
 
Huo WA chege kwel ni mbovu na umefel pamoja na kupigwa Sana clouds,Kwa Mara ya kwanza naona wimbo mbovu toka Kwa chege
 
Habari wakuu,sio jambo jema kusema msanii fulani anabebwa,kwa kuwa msanii hawezi kutoa nyimbo zote mbovu bali kuna baadhi tu ya nyimbo mbovu atatoa.hizi ndio nyimbo mbovu za bongofleva ila zinabebwa na media(radio na tv).

1. Kijuso ya Rayvan na queen dalin
2. Waya ya Joh makini
3. Yono ya Dully sykes
4. Hela ya Madee
5. AY yupo a dada mmoja jina la wimbo silijui ila ni mpya
6. CHEGE yupo na dada mmoja jina la wimbo silijui ila ni mpya

Hizo ndio zangu mbaya ila redioni zinapigwa sana ,ongezea na wewe za kwako

NB:kuupenda wimbo tumetofautiana,mimi mala ya kwanza nikisikia wimbo,basi hapohapo jibu linakuja,nisipoupenda hapo basi sitaupenda tena,ilas wengie jinsi wimbo unavopigwapigwa redioni anajikuta anaupenda(unakaririshwa hadi unakariri),
Mimi nyimbo zangu mbovu ni Yono wa Dully,Marry u-Diamond x Neyo,Weka Muziki-Darasa,Moyo sukuma damu-Dito
 
Kajiandae ndo wimbo mbaya sijawai ona kwa Mara ya kwanza ommy naona anatoa wimbo mbaya
 
Kuna wasanii wanatoa nyimbo lakini hata wao wenyewe wanashindwa kusikiliza halafu wanataka sisi ndo tuzipende. Kama hiyo Yono sijui kama Dully anaweza kukaa geto akaisikiliza
Duh!umenichekesha sana mzee baba,habari za Munich lakini!
 
Back
Top Bottom