Septemba11
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 620
- 535
Sugu leo nimekuelewa zaidi, big up kamanda!
Toka apigane Bungeni nilishamuondoa kwenye grupu la watu wenye akili...
...Masikini Sugu..!
Mwacheni sugu asaini tu hizo posho akahonge mademu
huku mkewe akiwaachia wenzie, grrrrrrrp!
kuna watu wanabeza takwimu za tume, haiitaji lita tano ya damu kujua kama unaumwa malaria au ukimwi, damu ya kidole tu inatosha.
big up sugu
mmmh!!kama ni tuhuma basi hizi ni nzito...anatafuniwa?!!Mwacheni sugu asaini tu hizo posho akahonge mademu
huku mkewe akiwaachia wenzie, grrrrrrrp!