Hizi msg za Valentine za kufowadiana . . . .

Akikubeep tu unaangalia salio kwanza maana unajua baada ya salamu atakuomba vocha lol

Alaaaa! Kumbe ndo wale utasikia " . . . nataka nimpigie mama, nitumie vocha ya elfu 5 tu"
Halafu hata ukimtumia hakuna asante wala nini, badala yake utasikia "mwanaume m-bahili wewe, yaani kavocha ka elfu 5 tu, kwani ukinitumia ya elfu 10 mpenzi wako utapata hasara??"
 
hayo mbona ni yakawaida sana, asubuhi unatumiwa gud nite, jioni unatumiwa gud mng, mradi siku zinaenda!
 
Mbona hii meseji ni exactly kama nloltumia mpenzi wangu Sheila wa Moro, usiku wa jana!!!!!!!!!!!! Ina maana kakufowadia wewe? Asalaalee!!
 
Siku ukiwa karibu nae jaribu kuijepa simu yake JIDIPU uone amekusevu vipi, kama unatumatuma vocha usije ukashangaa kukuta umeseviwa vocha dar[/QUOTE

Hapo kwenye Red umeniacha hoi!! Kumbe inawezekana eti au na wewe yalishakukuta nini??
 
hayo mbona ni yakawaida sana, asubuhi unatumiwa gud nite, jioni unatumiwa gud mng, mradi siku zinaenda!

My dia, mi wala hata sina neno coz nilicheka tu kwa saana alivyonitumia. Nili-take it easy, maisha yenyewe shoti
 
Siku ukiwa karibu nae jaribu kuijepa simu yake JIDIPU uone amekusevu vipi, kama unatumatuma vocha usije ukashangaa kukuta umeseviwa vocha dar[/QUOTE

Hapo kwenye Red umeniacha hoi!! Kumbe inawezekana eti au na wewe yalishakukuta nini??

Hapana mkuu mie kwa bahati nzuri simu yangu ni post peidi kwahiyo nikiombwa vocha nasema simu yangu haipunguzi na nipo mbali na maduka! kwenye swala la kutuma vocha Alhamdullilah nimelimudu.............
 
Utapata presha bure ukose hata wa kukuletea chakula hospital, mi nshajichukulia vizawadi vyangu najiendea home saa hizi
 
Mmmmmmmh bibie, unaongea na mtu anaedai anakupenda kwa dhati saa 3 asubuhi anasema "mpenzi, nimekumiss kweli ngoja nikutumie msg ya valentine niliyoandika kwa ajiri yako" halafu ndo unapata kama hiyo niliyoandika hapo juu, hiyo traffic jam ilianzia wapi?

Usikute mtoto wa watu wala hajatumiwa na jibaba. labda rafiki yake wa kike alitumiwa nae akamwomba amfowardie ili nae amtumie mpenzi wake ambaye ni wewe nae bila kusoma akaifoward. Matokeo yakawa hayo, Msamehe basi ila mwelimishe.
 
Usikute mtoto wa watu wala hajatumiwa na jibaba. labda rafiki yake wa kike alitumiwa nae akamwomba amfowardie ili nae amtumie mpenzi wake ambaye ni wewe nae bila kusoma akaifoward. Matokeo yakawa hayo, Msamehe basi ila mwelimishe.

Mi hata sio mpenzi wangu kihivyo, wala sijaji-commit kwake namna hiyo ni urafiki tu wa kawaida so yeye alivutiwa na mimi. So mi na-take it easy coz mimi sio mpenzi wake wa kweli kimahusiano
 
Hizi sms za ku-foward zinaboa sana mi kanitumia demu mmoja sms ndefu nzuri tatizo mwisho imeandikwa by Mrisho na demu anaitwa Esta nikawaza isije kuwa tuna-share chungu na mkuu wa kaya lol!
 
Hizi sms za ku-foward zinaboa sana mi kanitumia demu mmoja sms ndefu nzuri tatizo mwisho imeandikwa by Mrisho na demu anaitwa Esta nikawaza isije kuwa tuna-share chungu na mkuu wa kaya lol!

Duuh . . . bibie kampata Mpoto Mrisho ha ha hah ha ha ha
Kaka hayo uliyosema mwisho ndo ukweli wenyewe, tena naambiwa utakuta ktk simu yake kakusevu Joka la Kibisa
 
Duuh . . . bibie kampata Mpoto Mrisho ha ha hah ha ha ha
Kaka hayo uliyosema mwisho ndo ukweli wenyewe, tena naambiwa utakuta ktk simu yake kakusevu Joka la Kibisa

Mi nimekusave, Sura mbaya CPU!!!
 
Yaani sijui watu hawazisomagi vizuri au hawajui maana yake???!!!

Namshangaa kweli, katumiwa msg ya u-valentine na jibaba lake usiku wa kuamkia leo halafu anai-fowadi kwangu saa hizi saa tatu na nusu asubuhi, eti "am the first to wish you happy valentine this night, sleep well my sweet"

Ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
sipiyuuuuuuuuuuu, pole sana!!!!!
 
Mi nimekusave, Sura mbaya CPU!!!

Daaah mbona jina hilo zuri tu, halafu limekaa kimahaba-mahaba fulani hivi . . . CPU M-BAYAAAAAAAAAAAA halafu wakat huo huo unajileta mwenyewe nakukumbatia huku umelegea mwili mzima, naanza kukubusu halafu naanza k . . . . . .
 
Back
Top Bottom