Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Daaah
Aiseee hii itakuwa kali kuliko
Yaani nimeshakuwa vocha, kweli mabinti wa siku hizi balaa
Akikubeep tu unaangalia salio kwanza maana unajua baada ya salamu atakuomba vocha lol
Daaah
Aiseee hii itakuwa kali kuliko
Yaani nimeshakuwa vocha, kweli mabinti wa siku hizi balaa
Akikubeep tu unaangalia salio kwanza maana unajua baada ya salamu atakuomba vocha lol
Siku ukiwa karibu nae jaribu kuijepa simu yake JIDIPU uone amekusevu vipi, kama unatumatuma vocha usije ukashangaa kukuta umeseviwa vocha dar[/QUOTE
Hapo kwenye Red umeniacha hoi!! Kumbe inawezekana eti au na wewe yalishakukuta nini??
Siku ukiwa karibu nae jaribu kuijepa simu yake JIDIPU uone amekusevu vipi, kama unatumatuma vocha usije ukashangaa kukuta umeseviwa vocha dar[/QUOTE
Hapo kwenye Red umeniacha hoi!! Kumbe inawezekana eti au na wewe yalishakukuta nini??
Hapana mkuu mie kwa bahati nzuri simu yangu ni post peidi kwahiyo nikiombwa vocha nasema simu yangu haipunguzi na nipo mbali na maduka! kwenye swala la kutuma vocha Alhamdullilah nimelimudu.............
Mbona hii meseji ni exactly kama nloltumia mpenzi wangu Sheila wa Moro, usiku wa jana!!!!!!!!!!!! Ina maana kakufowadia wewe? Asalaalee!!
Mmmmmmmh bibie, unaongea na mtu anaedai anakupenda kwa dhati saa 3 asubuhi anasema "mpenzi, nimekumiss kweli ngoja nikutumie msg ya valentine niliyoandika kwa ajiri yako" halafu ndo unapata kama hiyo niliyoandika hapo juu, hiyo traffic jam ilianzia wapi?
Usikute mtoto wa watu wala hajatumiwa na jibaba. labda rafiki yake wa kike alitumiwa nae akamwomba amfowardie ili nae amtumie mpenzi wake ambaye ni wewe nae bila kusoma akaifoward. Matokeo yakawa hayo, Msamehe basi ila mwelimishe.
Hizi sms za ku-foward zinaboa sana mi kanitumia demu mmoja sms ndefu nzuri tatizo mwisho imeandikwa by Mrisho na demu anaitwa Esta nikawaza isije kuwa tuna-share chungu na mkuu wa kaya lol!
Duuh . . . bibie kampata Mpoto Mrisho ha ha hah ha ha ha
Kaka hayo uliyosema mwisho ndo ukweli wenyewe, tena naambiwa utakuta ktk simu yake kakusevu Joka la Kibisa
Yaani sijui watu hawazisomagi vizuri au hawajui maana yake???!!!
Namshangaa kweli, katumiwa msg ya u-valentine na jibaba lake usiku wa kuamkia leo halafu anai-fowadi kwangu saa hizi saa tatu na nusu asubuhi, eti "am the first to wish you happy valentine this night, sleep well my sweet"
Mi nimekusave, Sura mbaya CPU!!!
Siku ukiwa karibu nae jaribu kuijepa simu yake <b>JIDIPU </b>uone amekusevu vipi, kama unatumatuma vocha usije ukashangaa kukuta umeseviwa <b>vocha dar</b>