INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 1,736
- 15,858
Tafuta pesa nunua bidhaa high quality
Wewe unadhani kwanini bei zake zipo tofauti kama mbingu na ardhi?
sasa sony tu mkuu umechachawa ukipata soundbar tu ya jbl sindo itakua balaa.. anyways hao jamaa wanajali quality sana...tofaut na haya masabufa yakichina
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Kimsingi hzo seapiano hazina cooling ya kutosha. Chip zake zinapata moto haraka ndio maana inakua infanya hvyo. Ni design ya ndani ya motherboard
sasa sony tu mkuu umechachawa ukipata soundbar tu ya jbl sindo itakua balaa.. anyways hao jamaa wanajali quality sana...tofaut na haya masabufa yakichina
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
mchina anatumia malighafi ya hali ya chini kuundia vifaaseapiano
Uwezo wa cooling ndio unawezesha hzo HT kuweza operate kwa mda mrefu. Lakini pia power management yao ni bora kuliko hzo za kichina. Hzo za kichina zinatumia motherboards ambazo ni basic sana ambazo hata wewe unaweza agiza Aliexpress ukatengeneza subwoofer yakoHapa nimekusoma kumbe ni uwezo wa cooling
Uwezo wa cooling ndio unawezesha hzo HT kuweza operate kwa mda mrefu. Lakini pia power management yao ni bora kuliko hzo za kichina. Hzo za kichina zinatumia motherboards ambazo ni basic sana ambazo hata wewe unaweza agiza Aliexpress ukatengeneza subwoofer yako
Uwezo wa cooling ndio unawezesha hzo HT kuweza operate kwa mda mrefu. Lakini pia power management yao ni bora kuliko hzo za kichina. Hzo za kichina zinatumia motherboards ambazo ni basic sana ambazo hata wewe unaweza agiza Aliexpress ukatengeneza subwoofer yako
mchina anatumia malighafi ya hali ya chini kuundia vifaa
matokeo IC ina kua kimeo, haweki heat sink/heat compound ya kutosha (au haweki kabisa) ,
michina mingi ukipiga sauti ya juu zinakufa taratib maana ICs zinachemka uko ndani
kuna jamaa nilimuona anachezea chezea hii kitu youtube,anaunga unga kupata sub woofer analotaka.Uwezo wa cooling ndio unawezesha hzo HT kuweza operate kwa mda mrefu. Lakini pia power management yao ni bora kuliko hzo za kichina. Hzo za kichina zinatumia motherboards ambazo ni basic sana ambazo hata wewe unaweza agiza Aliexpress ukatengeneza subwoofer yako
Zile IC wanazotumiaga hata hazina specific power input wala haina specific power output. Unakuta sabufa ina PMPO 20,000W halafu RMS 40W sijui wanaandikaga tu au wanapima kweli maana hata haviendani.