Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,611
- 10,170
Kwa sasa mapenzi yanaweza kugawanywa katika makundi matatu
1. Mapenzi njiwa. Haya huwa yanawiana, wahenga husema kushibana. Aghalabu hufanywa na watu wanaokaribiana kimtazamo. Wanaokuwa katika mapenzi haya hufurahia maisha ya pamoja.
2. Mapenzi ya kuburuzwa, haya huwa yanadumu kwaajili ya kitu Fulani kinachomburuza mmojawapo na kuifanya mapenzi haya yasivunjike. Ni muhali mapenzi haya kuendelea kama kivutio kitaondoka au kuisha. Mara nyingi hapa mmoja ndiye mwenye mapenz ya kweli na hapo huwa hayajakaa sawia. Ikitoke huyo mwenye mapenz yakweli akachoka basi pia nisababu ya kuvunjika kwa mapenzi haya.
3. Mapenzi Sukulie, sukulie linatokana na mfinyazo wa sukuma liende. Haya huweza kuwa yalianza vizuri na baadaye kukosa mwelekeo. Wote wawili hakuna anayetamani kuyaendeleza. Kwa ukubwa mapenzi haya huunganishwa na watoto ingawa kiuhalisia hayamtamanishi miongoni mwa wenye nayo.
4. Mapenzi kipupwe na mapenzi ya kudonoa bado yangali yakitafutiwa data
#mawazohuru
Neno mapenzi linaweza kurejelea mahusiano ama ndoa katika muktadhaa huu
1. Mapenzi njiwa. Haya huwa yanawiana, wahenga husema kushibana. Aghalabu hufanywa na watu wanaokaribiana kimtazamo. Wanaokuwa katika mapenzi haya hufurahia maisha ya pamoja.
2. Mapenzi ya kuburuzwa, haya huwa yanadumu kwaajili ya kitu Fulani kinachomburuza mmojawapo na kuifanya mapenzi haya yasivunjike. Ni muhali mapenzi haya kuendelea kama kivutio kitaondoka au kuisha. Mara nyingi hapa mmoja ndiye mwenye mapenz ya kweli na hapo huwa hayajakaa sawia. Ikitoke huyo mwenye mapenz yakweli akachoka basi pia nisababu ya kuvunjika kwa mapenzi haya.
3. Mapenzi Sukulie, sukulie linatokana na mfinyazo wa sukuma liende. Haya huweza kuwa yalianza vizuri na baadaye kukosa mwelekeo. Wote wawili hakuna anayetamani kuyaendeleza. Kwa ukubwa mapenzi haya huunganishwa na watoto ingawa kiuhalisia hayamtamanishi miongoni mwa wenye nayo.
4. Mapenzi kipupwe na mapenzi ya kudonoa bado yangali yakitafutiwa data
#mawazohuru
Neno mapenzi linaweza kurejelea mahusiano ama ndoa katika muktadhaa huu
