Jamani hvi vi2 vyote vya nini?wakati umetoka home tayari ushajipodoa?
Kioo
Poda
Wanja
Lips shine
Lips stik
Handchef
Lotion
Ch**i
Kanga
Wembe
Pedi
Kitana
Je vyote hv vya nini jamani yani kama vile mnakwenda vitani?ok nyie kinadada 2ambieni hv vyote vya nini?Utakuta hata kwenye daladala anatoa kijikioo kidogo either kimepasuka au la anaanza mambo yake.yani ukibahatika kuuokota huambulii ki2
BoraBora wanawake wa vijijini, au mnasemaje wakina dada?
Aisee nyie wanaume hapa mnajadili nini?
waacheni kinamama wajadili vinavyowahusu.
Manake muda si mrefu mtauliza wanabeba always za nini........
Agrrrrrrrrrrr babu amekasirika.
Well said Kaka
Tunaitaga kudandia gari kwa mbele, kunywa :ranger: kupunguza hasira.
Duu hii kali wengine wanabeba nyanyapuza ya kujaradia.ha ha ha ha haaa
:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:Mwanamke asili yake ni urembo wewe ulitaka abebe ..nyundo na shockabsober kwenye handbag?
Bora wanawake wa vijijini, au mnasemaje wakina dada?
umesahau 2 hot pot twenye wali maharage natwo wanaweka mkuu.