Hizi fashion ni shida...

Hizi fashion ni shida...

nziriye

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
1,050
Reaction score
365
IMG_20150527_154744.jpg
 
tunapoelekea tutavaa hadi madekio kisa fashions
 
yaani nashindwa kuelewa hayo ni matambala au matobo tobo yaani ni shida tupu siku hizi.... na cheki hicho kisuruali chake...:confused2:
 
Mwanaume na binadam mwenye ufahamu upstairs huwezi kupata muonekano huu.! Labda kama ndio ajira take.
 
Hiyo miguu mbona kama imechomekwa jamani

Hahahaaa upaja unafanana na ugoko!?
 
Back
Top Bottom