Hizi barabara anazojenga Magufuli Arusha ni hatari ona hiii

Huo mpango upo lakinj barabara aliyoipost haipo Arusha
Huyu jamaa muongo sana, hii picha sijui kaiokota wapi.
Barabara kubwa kwa sasa ni moja tu kuanzia Tengeru mpaka Sakina.

Barabara nyingine mpya ni ile inayoanzia Usa River kupitia Njiro, Kisongo mpk Ngaramtoni kibaoni.
 
Mbona Ma Rais wengine huko nje hawafanyi maendeleo kama Magufuli
Jiwe ameharibu sana nchi kwa flyover za kienyeji na pia SGR ya njia moja inajengwa na taifa huru karne ya 21? Siku zote SGR nzuri huwa ya njia 2 sio moja. Tumepoteza matrilioni yetu kwenye bogus projects.
 
Yaani Wewe mlugaluga unawazidi akili waturuki?
Jiwe ameharibu sana nchi kwa flyover za kienyeji na pia SGR ya njia moja inajengwa na taifa huru karne ya 21? Siku zote SGR nzuri huwa ya njia 2 sio moja. Tumepoteza matrilioni yetu kwenye bogus projects.
 
Yaani Wewe mlugaluga unawazidi akili waturuki?
Unamdhalilisha sana Nyerere kwa kuweka picha yake ilhali wewe husadifu kabisa chochote cha Nyerere. Nyerere hakuwa mtu wa kushabikia madikteta aliwachukia sana akina Idd Amin, Seseseko na wengine ila wewe unapenda madikteta na unatumia muda na nguvu zako nyingi kuwapigia debe halafu unaweka avatar ya Nyerere?! Ondoa mkuu.
 
Hebu fafanua hiki ilichoandika
Tukijenga barabara ya njia moja kutoka Posta hadi Mbezi unafikiri itatatua kero za usafiri kwenye jiji la Dar? Hivyo hivyo SGR ya njia moja inachelewesha treni na kufanya msongamano. Na haya ndio aliyofanya jiwe hata baada ya kushauriwa sana kwamba tuweke two way railway ambayo bei yake isingekuwa tofauti sana na one way. Tumetupa matrilioni yetu kama kawaida ya jiwe na ubishi wake. Bado hamjui kuhusu ATCL yanayojiri yanasikitisha na ndio maana jiwe ajitahidi sana kushika kipindi cha pili la sivyo ataishia korokoroni.
 
Kumbe nabishana na mluga luga asiyejua kitu
Kwaheri
Tukijenga barabara ya njia moja kutoka Posta hadi Mbezi unafikiri itatatua kero za usafiri kwenye jiji la Dar? Hivyo hivyo SGR ya njia moja inachelewesha treni na kufanya msongamano. Na haya ndio aliyofanya jiwe hata baada ya kushauriwa sana kwamba tuweke two way railway ambayo bei yake isingekuwa tofauti sana na one way. Tumetupa matrilioni yetu kama kawaida ya jiwe na ubishi wake. Bado hamjui kuhusu ATCL yanayojiri yanasikitisha na ndio maana jiwe ajitahidi sana kushika kipindi cha pili la sivyo ataishia korokoroni.
 
Jiwe ameharibu sana nchi kwa flyover za kienyeji na pia SGR ya njia moja inajengwa na taifa huru karne ya 21? Siku zote SGR nzuri huwa ya njia 2 sio moja. Tumepoteza matrilioni yetu kwenye bogus projects.
Aiseee
 
hii hi sio Arusha, katika majiji yote, tuna malalamiko zaidi. Barabara ya 4way yani mbili huku mbili kule ni ya tengeru sakina tu, plus ya mount meru un tu. Haata barabara ya East Africa kutoka cauro kwenda Capetown ni bara bara mbili, yani one on one sides.
Ni upumbavu tu u naendelea hapo Arusha. Ni jiji lakini haumalizi saa nzima kwa gari kuizunguka yote, what town is this! Kuna mitaa ya katikati kabisa ya mji Kama vile lemara,matejoo, olasiti ndani, moshono ndani, Mandela, nshupu, maji ya chai, kiserian, kisongo juu na ngaramtoni juu. Zipo middle town ukilinganisha na huko simanjiro, oloigilai huko sanawari juu, ngaramtoni juu, hate kufika meserani mwisho kambi ya nyoka ambako kote ni nje ya mji ndo kulipaswa kuwe kijijini ila Arusha center kabisa jijini bado Kuna vijiji, it's piyutski and disappointing Mana hata mavi yanameagwa katikati ya mji. Nadosoito huko nje ya mji pamejengeka na lami imefika ila katikati ya mji nyuma ya mlima them I(one of the richest area) ni mavi mavi tu
 
Back
Top Bottom