Doctor G
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 2,819
- 5,279
Nataka kuwa mzalendo wa Taifa hili nifanyeje?Sijakuelewa Mkuu
Nataka kuwa mzalendo wa Taifa hili nifanyeje?Sijakuelewa Mkuu
Nataka kuwa mzalendo wa Taifa hili nifanyeje?
AhsanteSawa Mkuu tuige uzalendo wa Magufuli
Awamu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa shilingi ngapi? Na Sasa kilo moja shilingi ngapi?Sukari imekuwa tatizo toka awamu iliyopita
Hapa ni Arusha sehemu gani mkuu tujuzane
First of all uache uwongo. Hiyo picha si ya jiji la arusha.
Hii barabara gani ya Arusha? Tunaoishi Arusha hatujawahi kuiona barabara hii..!!!
Sukari kilo kiasi ganiMbona awamu hii hakuna mfumuko wa bei Mkuu
Amejenga kwa hela zake sioYeye ndiye mwamuzi wa mwisho
Angeweza kuamua akale bata new Zealand au bahama ila ameamua zifanye maendeleo
Pesa zetu,mshezi katubana maisha magum balaa.anatumia hela zake binafsi za kujengea hizo barabara? au yeye ndiye mkandarasi? au yeye ni mhandisi msimamizi?
mpk JK anasepa Tsh.1800/kiloAwamu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa shilingi ngapi? Na Sasa kilo moja shilingi ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbav.Mbona sisi chadema tunapiga siasa kama kawaida Wewe upo chama gani
Mbona inakwenda baharini, kusifu ni muhimu zaidi.
Wewe Ni zwazwaYeye ndiye mwamuzi wa mwisho
Angeweza kuamua akale bata new Zealand au bahama ila ameamua zifanye maendeleo