fanya kazi utapata kitu mfukoni.Hatuli barabara bidhaa zimepanda bei mfukoni hatuna kitu
fanya kazi utapata kitu mfukoni.Hatuli barabara bidhaa zimepanda bei mfukoni hatuna kitu
Imeuma hiyoanatumia hela zake binafsi za kujengea hizo barabara? au yeye ndiye mkandarasi? au yeye ni mhandisi msimamizi?
Anazojenga magufuli au serikali?
Hahaha hii arusha ya wapi,
A
Amejenga kwa hela zake sio
Mbona inakwenda baharini, kusifu ni muhimu zaidi.
Nenda kalime pembezoni mwa jiji kisha safirisha fasta bidhaa zako zifike utakako kwa uharaka kupitia hiyo barabara...Hatuli barabara bidhaa zimepanda bei mfukoni hatuna kitu
Wewe Ni zwazwa
Narudia Tena wewe Ni zwazwa
Hizo pesa zinazojenga Ni za wananchi
Imekua magufuli magufuli
Kwa hiyo ulitaka azile?
Pumba kabisa.
Hivi CCM mkoje????
toa hoja shangazi, wacha taarabu!Imeuma hiyo
Ukiruhusu chuki, unapata cancer
Hivi Mtaacha lini kulamba miguu?Angekuwa fisadi tusingeona barabara
Hata mimi nilitaka kushangaa, Dar kwenyewe barabara kama hiyo ni ya kutafuta kwa tochi, labda ile ya daraja la Nyerere.Hakuna barabara kama hiyo Arusha labda chattle.
Hivi Mtaacha lini kulamba miguu?
Haujui Kama huo Ni wajibu wake?
Tulimchagua ili asimamie Kodi zetu na kuzipeleka mahali husika.
Mnavyosifu inamanisha anatoa pesa zake mfukoni.
Kinachoonesha kuwa hapo sio Arusha ni hiyo bypass hapo juu, i stand to be corrected.Hiyo ya juu yake kweli siijui... hzo mbili hapo chini ni sawa zpo kuanzia mianzini kuelekea ngaramtoni au mianzini tO USA
Sio Arusha, kaokoteza picha toka Google awadanganye watuHapa ni Arusha sehemu gani mkuu tujuzane
Huo mpango upo lakinj barabara aliyoipost haipo ArushaHivi CCM mkoje????
Ni kweli kwamba wote Ni mazwazwa hamna akili???????
Hi Barabara Ni mpango wa East Africa Community na inatakiwa ipite kwenye nchi zote za East Africa......
Kwetu itaanzia Namanga Hadi Holili.....na kwasasa imefika pale USA......
NA ILIFUNGULIWA NA MARAIS WA EAST AFRICA......
Acheni Bla Bla jombiii
Iko wapi?Huo mpango upo lakinj barabara aliyoipost haipo Arusha
Fanya kazi acha kulia mitandaoniHatuli barabara bidhaa zimepanda bei mfukoni hatuna kitu
Nikweli hatari maana hizo kona zitaleta madhara makubwa sana