Hata Tanzania ni taifa feki,taifa gani linaagiza hadi toothpick kutoka China? Taifa gani hata sindano tu zinatoka nje? Hata chupi zinatoka nje? Taifa halina bidhaa za kujivunia linazouza nje,lina watu feki,mtu kama Faizafoxy unaweza kusema kuwa ni binadamu orijino kweli huyo?