Hivi, Wazungu husingiziwa/husingiziana mtoto/watoto?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,306
25,929
Kwetu Afrika, Tanzania ikiwemo, jambo la kusingiziwa motto/watoto husemwa sana. Hapa, mwanamke humtaja na kumwambia mwanaume fulani kuwa ana ujauzito wake, jambo ambalo si la kweli. Mwanaume huyo, pasipo kuujua ukweli, hukubali na kulea ujauzito na hata mtoto ambaye si wake. Huko ndiko kusingiziwa.

Kulingana na teknolojia iliyopo kwa wenzetu wa Ulaya na Amerika, kuna uwezekano na uhalisia wa Mzungu kusingiziwa mtoto/watoto?
 
Kusingiziana kote kote kupo, sema wenzetu wana sheria kali sana.!
Kule kwa wenzetu wanawake, watoto, wanyama Wameandaliwa sheria nyingi sana za kuwalinda,
hivyo kuhusu suala la kukataa mtoto bila sababu maalumu ni mziki mnene,
sio sawa na huku watu wanajiropokea tu nakufukuzana kama mbwa,
kule ukimkataa mtoto kabla ya kupimwa DNA inabidi uchunguzwe je ulishawahi kusex na huyo binti bila kutumia kinga???
je, uliwahi kuwa na mahusiano nae?
N.K
baada ya hapo sasa DNA ndio inaweza kufuatwa na endapo itakutwa kama mtoto ni wako basi mjomba jiandae kulipa faini za kutosha tu(wengine hufilisiwa)
na endapo itakutwa sio wako basi mama mwenye mtoto atalipa faini na inakuwa sio mchezo.
Sasa sheria kama hizo ndio zinawafanya wanawake wasiwasingizie wanaume mimba kwa kuhofia kisanga kitakachowakuta.
Na pia inapunguza idadi ya wanaume kukataa mimba bila sababu za msingi cuz akidakwa ni mazishiiiii
 
Kusingiziana kote kote kupo, sema wenzetu wana sheria kali sana.!
Kule kwa wenzetu wanawake, watoto, wanyama Wameandaliwa sheria nyingi sana za kuwalinda,
hivyo kuhusu suala la kukataa mtoto bila sababu maalumu ni mziki mnene,
sio sawa na huku watu wanajiropokea tu nakufukuzana kama mbwa,
kule ukimkataa mtoto kabla ya kupimwa DNA inabidi uchunguzwe je ulishawahi kusex na huyo binti bila kutumia kinga???
je, uliwahi kuwa na mahusiano nae?
N.K
baada ya hapo sasa DNA ndio inaweza kufuatwa na endapo itakutwa kama mtoto ni wako basi mjomba jiandae kulipa faini za kutosha tu(wengine hufilisiwa)
na endapo itakutwa sio wako basi mama mwenye mtoto atalipa faini na inakuwa sio mchezo.
Sasa sheria kama hizo ndio zinawafanya wanawake wasiwasingizie wanaume mimba kwa kuhofia kisanga kitakachowakuta.
Na pia inapunguza idadi ya wanaume kukataa mimba bila sababu za msingi cuz akidakwa ni mazishiiiii
Hiyo inapaswa kufika hapa Bongo ili iikomeshe tabia ya kusingiziana.
 
kwann asisingiziwe... tena anaweza kususiwa darasa zima asipojiangalia..!!!!
 
Pamoja na kwamba ni movie/series tu lakini naamini wanaigiza mambo yanayotokea kwenye jamii yao. Check "Designated survivor". Kuna kiongozi mkubwa tu kwenye hiyo series alilea mtoto ambaye hata yeye hakuwa na uhakika kuwa ni wake ama la.
 
Back
Top Bottom