Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Imenibidi niulize hili swali baada ya kumuonea huruma sana mh rais wetu mpendwa kwa kufanya kazi za kuzindua na kuweka mawe ya misingi kila palipo na hizo shughuli.
Hivi jamani hamuoni mnamchosha rais wetu?kwanini waziri anakwepa majukumu yake wakati ndiyo wajibu wake?
Hivi jamani hamuoni mnamchosha rais wetu?kwanini waziri anakwepa majukumu yake wakati ndiyo wajibu wake?