meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Habarini wanaJF!
Swali linajieleza kwa uwazi kabisa.
Je waziri wa ujenzi wa kipindi hiko (naamini ndiye Rais wa sasa)
Je alialikwa au kuhudhuria uzinduzi wa ujenzi huu wa daraja muhimu la Kigamboni kwa sasa linaitwa daraja la Nyerere?
Kama alialikwa kwa nini hakuhudhuria?
Kama hakualikwa je ni kwa nini?
Turejeshe kumbukumbu.
Swali linajieleza kwa uwazi kabisa.
Je waziri wa ujenzi wa kipindi hiko (naamini ndiye Rais wa sasa)
Je alialikwa au kuhudhuria uzinduzi wa ujenzi huu wa daraja muhimu la Kigamboni kwa sasa linaitwa daraja la Nyerere?
Kama alialikwa kwa nini hakuhudhuria?
Kama hakualikwa je ni kwa nini?
Turejeshe kumbukumbu.