Bijang
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 265
- 548
Habari zenu wakuu!
Nafahamu kuna watu wengi wakubwa na wenye nyazfa kubwa nitapata msaada hapa kujua hili jambo.
Hivi viongoz wa serikal kama vile wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, makatibu tawala wilaya na mikoa wanaweza kupata mikopo kama wafanyakazi wengine wa serikali kama vile madaktari, walimu, askariz, n.k
Mwisho, je? Wachezaji wa mpira nao vipi wamaweza kukopa kwenye tassisi hizi za kifedha je mikataba yao ikivunjwa inakuwaje kwenye marejesho.
Nawasilisha
Nafahamu kuna watu wengi wakubwa na wenye nyazfa kubwa nitapata msaada hapa kujua hili jambo.
Hivi viongoz wa serikal kama vile wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, makatibu tawala wilaya na mikoa wanaweza kupata mikopo kama wafanyakazi wengine wa serikali kama vile madaktari, walimu, askariz, n.k
Mwisho, je? Wachezaji wa mpira nao vipi wamaweza kukopa kwenye tassisi hizi za kifedha je mikataba yao ikivunjwa inakuwaje kwenye marejesho.
Nawasilisha