Hivi watanzania tunaweza kitu gani?

Hivi watanzania tunaweza kitu gani?

we kimdada si lazma somtim kama una cha kuandika unakausha2 mana kwa jinsi unavyoshinda na kukesha humu sis wagen tunakuheshm sna kama celbrt.wa jukwaa sasa usitak tukuone huwez chochote wkt uwezo wako wa kupost ovyovyo humu uko ju sana may.

Wewe unaweza nini zaidi ya kubwabwaja na kuhororoja?

Jifunze kuandika vizuri, pitia posts za wengine humu humu JF upate uzoefu wa kuandika kwa umakini.
 
Hiyo ni "Made In Tanzania" au? chuma tunachimba wapi? matairi hayo tunayatengeneza wapi? hiyo engine tunatengeneza wapi? acheni kupotosha, mmeokota vyuma chakavu mkavipaka rangi tu, Tanzania tunaweza Ufisadi, na wizi.
 
Wewe unaweza nini zaidi ya kubwabwaja na kuhororoja?

Jifunze kuandika vizuri, pitia posts za wengine humu humu JF upate uzoefu wa kuandika kwa umakini.

nahitaj uzoefu wa maisha bora sihitaj uzoef wa jf! ww si uko hapa kujiweka karibu na watanzania il wakuone na wew ni wa hapa wakat kwenu ni mogadishu
 
mkuu mimi mwenyewe kichwa kina paska sana ninapo ifikiria tz. naipenda sana nchi yangu ila mamlaka hazipendi tecnology za wabunifu wa ndani.

mfano. mimi nimetengeneza generator linalo tumia maji bila mafuta kwa miezi sita sasa linafanya kazi 24hrs linszalisha kva 20. mpaka lina kamilika lime gharim tsh m8 tuu!

lakini nafikiria namna ya kuliingiza sokoni najua ntakutana na magumashi kibao.
mpaka sasa nimempata jamaa yangu yupo uganda kanambia serikali yao inajali sana wabunifu ni bora ni hame nchi kuliko kufa kiteknojia!
 
mkuu mimi mwenyewe kichwa kina paska sana ninapo ifikiria tz. naipenda sana nchi yangu ila mamlaka hazipendi tecnology za wabunifu wa ndani.

mfano. mimi nimetengeneza generator linalo tumia maji bila mafuta kwa miezi sita sasa linafanya kazi 24hrs linszalisha kva 20. mpaka lina kamilika lime gharim tsh m8 tuu!

lakini nafikiria namna ya kuliingiza sokoni najua ntakutana na magumashi kibao.
mpaka sasa nimempata jamaa yangu yupo uganda kanambia serikali yao inajali sana wabunifu ni bora ni hame nchi kuliko kufa kiteknojia!

Kaka hebu fika costech jieleze na uwaambie unatafuta patent (hati miliki) ya hiyo tech yako wakusaidie na kisha anza kutengeneza kwa order hiyo ya kwanza ikiwa kama demo. Kila safari huanza na hatua moja...
 
Nasikiliza radio moja hapa wanasema viongozi wetu shopping Dubai, benki Uswisi, matibabu India, kutubu Islael wakifa kuzikwa Tanzania. Swali je Tanzania ni kaburi.

Kama kuna viongozi humu haya si masikhara hebu amkeni na umizeni bongo. Watanzania wanataka mwongozo tu na wapo tayari kufuata
 
Tunaweza kuchangiana harusi. Si unaona jinsi harusi zetu zinavyogarimu, tena siku hizi harusi moja si chini ya shs. milioni 13.
 
Wewe unaweza nini zaidi ya kubwabwaja na kuhororoja?

Wewe mama inabidi nijizuie nisije nikafungiwa kwa sababu yako! Wewe jiangalie kwanza usoni mwako kabla ya kuandika kitu chochote maana wawazo yako ni yale ya watu wa stone age! Hata kama umebahattika kuwa mojawapo kati ya ukoo wa panya lkn kumbuka nafsi yako itakusuta tu. It is a matter of time! Subiri tu...... Leo kwangu na kesho kwako!!
 
watanzania tunaweza majungu na kuingia mikataba ya kifisadi,hakuna ubunifu hata kidogo,tumeanzisha sheria ya manunuzi amabayo inaibana nchi kufanya shughuri yeyote mpaka mkadarasi,ingependeza kama tungekuwa tunatumia wakandarasi wa nchini kwa kuwawezesha vifaa mbalimabali na mikopo ila hakuna kitu,unasikia kiongoz wa nchia nakuambia sisi hatufanyi baishara ni policy maker,wakati kampuni mnazowapa tender kutoka nje ni za serikali na wanachi wa hiz nchi,tanesco wanakodishwa umeme wa majenerata wakati wanajua wapi yanauzwa,nchi haina benk zaid ya TIB,,nchi haina kiwanda,na zile kampuni ambazo zinamiliwa na serikali wazitaid kuziua kwa mikataba mibovu inayofanywa na wizara amabaya haina maslahi ya nchi,nchi haina kiwanda ,uchumi wa nchi utajengwa nanini,kama serikali haina miimili ya uchumi za ya kodi
 
Jamani mazuri yote hatuwezi, hata kujiandikisha kupiga kura pia hatuwezi?
 
Kaka hebu fika costech jieleze na uwaambie unatafuta patent (hati miliki) ya hiyo tech yako wakusaidie na kisha anza
kutengeneza kwa order hiyo ya kwanza ikiwa kama demo. Kila safari huanza na hatua moja...

kiongozi hebu nianze kufanyia kazi pengine mamlaka husika zita zinduka
 
Tanzania tunaweza vita tu kwa jeshi letu ila wananchi tunaweza kudanganywa na viongozi wa CCM miaka nenda rudi.
 
Back
Top Bottom