Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,608
- 4,265
Mmeweza kwa kutumia makandarasi wa nchi za nje!
Huo ni mwanzo. Hata kilimo unaanza kwa ajili kula nyumbani kisha unaongeza kwa ajili ya kuuza kwa wengine.
Wewe unaweza nini zaidi ya kubwabwaja na kuhororoja?
Hii gari imetengenezwa na kikosi JWTZ Nyumbu.
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126488&d=1323441360https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126488&d=1323441360https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126488&d=1323441360https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126487&d=1386936284https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126487&d=1386936284https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126488&d=1323441360
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126488&d=1323441360https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126488&d=1323441360
Haya pia ni matunda yetu wenyewe.
Tunao uwezo wa kuongea kwa hisia na uchungu mkubwa sana juu ya uozo wa nchi hii, tunaweza majukwaani, kwenye Tv na hapa Jf, tukisha post kwa uchungu mwingi tunasubiri tuone tutapata 'LIKES' ngapi
Hatuna akili hivyo hatuwezi chochote
kama nini huu mradi usipewe nguvu?
Kujenga nchi yetu na kuwa na mipango endelevu.
Watanzania watakuwa akienda kigamboni kwa miguu.
"https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126279&d=1386851497""https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126279&d=1386851497"
Nimekuwa nikifuatilia ukosoaji wa wananchi kwa wenye nchi juu ya mambo mbalimbali. Ukosoaji huu umekwenda mbali mpaka kwenye matibabu ya mkuu wa nchi. Hapa imebidi niweke pozi na badala ya kubebwa na hoja za ukosoaji na wanaojitoa muhanga kutetea, imebidi nianze kujiuliza maswali hivi sisi watanzania tunaweza nini hasa tunachoweza kujivunia. Nikasafiri mpaka North Korea ambapo kuna kila aina ya vikwazo toka kwenye mataifa yenye nguvu lakini hatuingii hata chembe kwenye maendeleo yao. Nikafika Switzerland ambako hakuna mali asili yoyote lakini ndiyo mabingwa wa kutengeneza chocolate duniani wakati hata hawalimi. Kufika hapa nikakubali kubebwa na upepo wa wakosoaji wa matibabu ya Rais na kujiuliza hivi ni nchi gani zinazojitambua viongozi wao wanaumwa na wanakwenda kutibiwa nchi nyingine. Zinazofanya hivyo mara nyingi viongozi wake hawadumu sana.
Sasa najiuliza hivi sisi watanzania tunaweza nini jamani tukipigie chepuo kitutoe kama huko mbele kwa wenzetu? Hapo kale tuliwacheka wachina kwa kugeza vitu vya nchi nyingine, kupitia kugeza huko leo wanatisha duniani na tumebaki tu kusema miaka hiyo China ilikuwa sawa na Tanzania. We need visioned leaders who have mission to transform lives of Tanzanians, a leader who thinks about today and 200 years to come... Aagh naanza kupata hasira na najihisi kuanza kutoka nje ya msitari. Haya wanajamvi toeni mawazo ya kuijenga hii nchi
At least nimetoa mwongozo kuwa ili tubadilike na tuwe na chetu basi nini kifanyike. Kagame aliamua kuwekeza kwenye IT na soon Rwanda itakuwa hub ya Africa kwenye mambo ya IT nami nikasema kwanini tusiamue kuifanya Tanzania centre ya utabibu kwa mfano.
Haya wewe FaizaFoxy umefanya nini maana badala ya kujenga juu ya hoja unabomoa
Hapa usifikiri ni London au S.Africa hii ni DAR ndugu.
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126278&d=1386851141https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=126278&d=1386851141
Humu humu JF nawapa darsa Watanzania kila kukicha. Dogo hilo?
Wewe unaweza nini zaidi ya kubwabwaja na kuhororoja?
Huo ni mwanzo. Hata kilimo unaanza kwa ajili kula nyumbani kisha unaongeza kwa ajili ya kuuza kwa wengine.